Habari Kali
Loading...

WAZAZI WAMUOMBA MGANGA WA KIENYEJI ILI AFANYE MAOMBI SHULENI...BAADA YA WATOTO WAO KUFELI MITIHANI!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
4938848-3x2-940x627Umewahi kukutana na stori za ishu za wanafunzi kulalamika kwamba shuleni kuna mauzauza?? Kenya imetokea.. watu wakaihusisha na imani za kishirikina moja kwa moja.
Mbunge wa Kaloleni, Gunga Mwinga ilibidi ashangae kidogo wakati ambapo alikaribishwa mgeni rasmi kwenye shughuli ya graduation ya wanafunzi waliomaliza.. basi unaambiwa ombi la wazazi lilikuwa moja tu, wanahitaji Mbunge afanye mpango wa kuwaletea mganga ili kuondoa ushirikina ambao wanahisi upo kwenye shule hiyo.
Makamu Mkuu wa Shule hiyo, Richard Charo amesema wanafunzi hawafaulu kabisa mitihani ya kitaifa, wanaamini hiyo inasababishwa na nguvu ya uchawi… lakini Afisa Elimu Chigulu Mwarumba nae wazo lake halikuwa mbali na hao waliotangulia, yeye akasema wanafunzi wa shule hiyo wamekuwa wakisumbuliwa na nguvu za kishirikina na ofisi yake imepokea malalamiko ya aina hiyo mara nyingi.
 Mambo yanayoendelea shuleni hapa yanaogofya mno, wasichana wanaanguka hovyo na kuzimia.. wanafunzi wanaanguka mitihani ya kitaifa, tulileta wahubiri wawili lakini hakuna mabadiliko yoyote.. sasa itabidi tulete mtaalamu wa kufukuza mapepo, ninaamini kuna kitu kilizikwa shuleni hapa ili kuzuia wanafunzi wasifanye vyema,”>>> alisema Mwalimu Mkuu.
Malalamiko yao wanasema kwamba shule hiyo ilianza kuwa na matokeo mabaya kwenye mitihani ya kitaifa miaka mitano iliyopita, miaka ya nyuma hali ilikuwa poa kabisa.. wazazi  hao wamesema wanataka mganga ambaye atawasaidia kufukuza pepo wachafu.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top