Habari Kali
Loading...

Nay wa Mitego "Siwema Hajawahi Kuja Kumuona Mtoto Wala Hata Kupiga Simu Kuulizia Hali ya Mtoto Tangu Nilipomchukua"

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Staa wa Bongo Fleva,Nay Wa Mitego amesema kuwa mzazi mwenziye, Siwema hajawahi kumuona mtoto wao aitwaye Curtis wala kupiga simu kuulizia hali ya mtoto tangu alipomchukua kutoka kwake jijini Mwanza zaidi ya miezi miwili iliyopita.

Nay aliyazungumza hayo kwenye mahojiano maalum na Clouds FM kuhusu malezi ya upande mmoja anayolelewa mtoto wake Curtis mwenye umri wa miezi sita. ‘’Mtoto wangu anaendelea vizuri hana tatizo,na mama yake wala ndugu zake hawajawahi kumuona mtoto wala kupiga simu kuuulizia hali ya mtoto anaendeleaje,’ alisema Nay. ‘Na pia hali hiyo wala hainiumizi hata asipomuona miaka yote mimi sijali ninachoangalia mtoto wangu ana afya njema na anakua vizuri,’ aliongeza Nay.

Nay wa Mitego aliamua kumchukua mtoto wake kutoka kwa mama yake jijini Mwanza baada ya kutokea ugomvi kati yao.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top