Habari Kali
Loading...

BAADA YA MSANII WOLPER KUKIRI YEYE NI FREEMASON, WENYEWE FREEMASON WAMJIA JUU!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
KATIKA toleo lililopita la gazeti hili, ukurasa wake wa pili kulikuwa na habari yenye kichwa; Wolper: Mimi ni Freemason kwa muda mrefu sasa.
Sasa, baada ya habari ile kutoka, kuna madai kwamba, wenyewe Freemason wameingiwa na wasiwasi juu ya kauli ile lakini chanzo kikitoa kauli mbili tofauti.
Chanzo chetu kililiambia gazeti hili kuwa, baadhi ya wanachama wa taasisi hiyo wameshtushwa na maneno ya Wolper kama yana ukweli wowote.
“Yaani kule Freemason, baachi ya wanachama wanasema Wolper alikurupuka kusema vile. Lakini hawajasem alikurupuka kwa sababu si Freemason au hakutakiwa kukiri,” kilisema chanzo.
Jumatatu iliyopita, Amani lilimpigia simu mwanachama mmoja wa taasisi hiyo ambaye yupo ngazi ya uongozi na kuzungumza naye kuhusu Wolper lakini alikata simu bila kutoa majibu.
Wolper mwenyewe alipotafutwa kwa simu na kuulizwa kama anajua ameibua kizaazaa hicho, alijibu ndivyo sivyo:
“Mimi niko mbali na mji jamani. Nina mishemishe f’lani hivi. Unajua nataka kutoa filamu. Nitakuja siku moja hapo Global kuomba udhamini wa filamu hiyo.”
Staa wa filamu Bongo, Jackline Wolper.
Sasa, baada ya habari ile kutoka, kuna madai kwamba, wenyewe Freemason wameingiwa na wasiwasi juu ya kauli ile lakini chanzo kikitoa kauli mbili tofauti.
Chanzo chetu kililiambia gazeti hili kuwa, baadhi ya wanachama wa taasisi hiyo wameshtushwa na maneno ya Wolper kama yana ukweli wowote.
“Yaani kule Freemason, baachi ya wanachama wanasema Wolper alikurupuka kusema vile. Lakini hawajasem alikurupuka kwa sababu si Freemason au hakutakiwa kukiri,” kilisema chanzo.
Jumatatu iliyopita, Amani lilimpigia simu mwanachama  mmoja wa taasisi hiyo ambaye yupo ngazi ya uongozi na kuzungumza naye kuhusu Wolper lakini alikata simu bila kutoa majibu.
Wolper mwenyewe alipotafutwa kwa simu na kuulizwa kama anajua ameibua kizaazaa hicho, alijibu ndivyo sivyo:
“Mimi niko mbali na mji jamani. Nina mishemishe f’lani hivi. Unajua nataka kutoa filamu. Nitakuja siku moja hapo Global kuomba udhamini wa filamu hiyo.”

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top