Habari Kali
Loading...

ASHA BARAKA AWAONYA WASANII WANAOTUMIA DINI KUJIPATIA FEDHA..

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
MKURUGENZI wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’ ya jijini Dar, Asha Baraka amelivalia njuga suala la baadhi ya mastaa wa Kibongo kubadili dini kwa ajili ya kuwafuata wanaume au wanawake ili wajipatie fedha.

Mkurugenzi wa Twanga Pepeta, Asha Baraka.
Asha alibainisha hayo hivi karibuni na kubainisha kwamba wapo wasanii wanaobadili dini kwa ajili ya kufuata  fedha kwa wapenzi wao , pindi wapenzi  hao wanapoishiwa wanajidai kurejea katika dini zao za awali.

“Binafsi nakerwa na tabia hizi za wasanii, ni heri mtu ubadili dini kwa imani ya kweli, siyo kwa ajili ya kufuata fedha, ni vibaya sana,” alisema  Asha kwa masikitiko.
  
Hivi karibuni msanii Jacqueline Wolper alitangaza kurejea katika dini yake ya Ukristo baada ya kushauriwa na wazazi wake ingawaje watu wengine wamedai kwamba Wolper alifanya hivyo baada ya aliyekuwa mchumba wake Abdallah Mtoro ‘Dallas’ aliyemfuata kwenye Uislamu kuishiwa fedha.

-GPL

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top