Habari Kali
Loading...

KAKA WA P-SQUARE, JUDE OKOYE ADAIWA KUISUSIA HARUSI YA PETER NA LOLA, NDUGU WADAI LOLA HAJATULIA, WATAKA VIPIMO VYA DNA VYA WATOTO WAO

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Jumapili ya November 17, 2013, jiji la Lagos, Nigeria lilishuhudia harusi kubwa ya kitamaduni kati ya muimbaji wa kundi la P-Square, Peter Okoye na mchumba wake Lola Omotayo, lakini cha ajabu, kaka yake mkubwa, Jude Okoye hakuwepo. 
 
Msemaji wa kundi hilo Bayo Adetu alisema Jude hakuwepo kwenye harusi kwakuwa alikwama nchini Ghana.
Jude_okoye-2Jude Okoye
P-Square walikuwa wametumbuiza jijini Accra, Ghana kwenye show ya ‘Glo and Bounce Slide‘ siku moja kabla ya harusi na hivyo Adetu akadai kuwa Jude alikosa ndege na hivyo kushindwa kurejea Lagos kushuhudia harusi hiyo iliyohudhuriwa na mastaa kibao akiwemo Diamond Platnumz.
 
Lakini chanzo cha sehemu ya kundi la wasanii wengine walioenda Ghana kwenye show hiyo kilisema Jude hakwenda Ghana. 
 
‘Hatukumuona, mapacha hao walikuwa hapa na bendi yao lakini hatukumuona Jude‘, chanzo hicho kilisema.
 
Vyanzo vya ndani kwenye familia ya Okoye vimedai kuwa Jude Okoye na wanafamilia wengine hawakuiunga mkono ndoa ya Peter na mama wa mwanae Lola Omotayo. Vyanzo vingine vimedai kuwa marehemu mama yao naye hakuwa akiuunga mkono uhusiano huo.
dc6c29ec506111e387720e8e429886c3_8Lola
‘Jude na wengine hawampendi. Hawakutoa baraka zao kwa ndoa hiyo. Hata Paul pia, lakini ni pacha wake. Hata ndugu wengine walikuwepo pale walikuwa wagumu pia kuhudhuria. Jude hakwenda kwasababu hakuwa ameliunga mkono wazo hilo tangu siku ya kwanza,’ chanzo cha familia hiyo kilisema.
LolaOmotayoMakeupLook2_that1960chickdotcom
Lola ni mrembo haswaa
Baadhi ya wanafamilia wa Okoye walienda mbali zaidi na kudai kuwa Lola Omotayo anadaiwa kumsaliti Peter Okoye mara kwa mara. Inadaiwa kuwa walikuwa wanadai vifanyike vipimo vya DNA kubaini kama kweli Cameron na Aliona ni wa Peter kweli ama kashikishwa tu.

Peterrrr 
Peter akiwa na mwanae Cameron
‘Ni serious kabisa, wanadai kuwa Lola hulala na wale anaowaita ‘wajomba’ na wanataka vifanyike vipimo vya DNA, wanataka kumlinda kaka yao.’
 
Hata hivyo madai hayo hayajathibitishwa bado.

-Bongo5

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top