Habari Kali
Loading...

Mahakama yamsaka padri wa kanisa katoliki anayekabiliwa na kesi ya kumlawiti mtoto wa miaka 17

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufaa, limeshindwa kusikiliza rufaa iliyokatwa na upande wa Jamhuri kupinga hukumu ya Mahakama Kuu iliyomwachia huru Padri wa Kanisa Katoliki, Sixtus Kimaro aliyekuwa anakabiliwa na kesi ya kumlawiti mtoto wa miaka 17.
 
Rufaa hiyo ilipangwa kusikilizwa hivi karibuni lakini hata hivyo padri huyo pamoja na wakili wake hawakufika mahakamani. Upande wa Jamhuri una hoja saba katika rufani hiyo.
 
Kabla ya kuachiwa huru baada ya kukata rufaa, Padri Kimaro alihukumiwa kifungo cha miaka 35 jela na kulipa faini ya Sh milioni mbili kwa mtoto baada ya kupatikana na hatia.
 
Kutokana na kushindwa kwa jopo hilo kusikiliza rufani hiyo wiki iliyopita, kwa kutotokea mahakamani hapo padri huyo wala wakili wake, jopo limeagiza upande wa Jamhuri kutoa taarifa ya mwito kuwa anahitajika mahakamani hapo kupitia vyombo vya habari.
Hatua ya kuamriwa kutumika vyombo vya habari kunatokana na wakili wa Serikali, Salum Malick kudai kuwa amepata taarifa kutoka kwa msajili wa mahakama hiyo kuwa, hati ya mwito wa kumtaka afike mahakamani hapo ilipelekwa kwa Kanisa Katoliki.
 
Alidai kwa mujibu wa taarifa hiyo ya msajili wa mahakama, hati hiyo ilipelekwa Jimbo Kuu la Dar es Salaam lakini waliambiwa na jimbo hilo kuwa Padri Kimaro si mwajiriwa wao na wala hawajui alipo.
 
Jopo la majaji hao watatu ambao ni Engela Kileo, Steven Bwana na Sauda Mjasiri, limeamrisha mwito huo umtake afike kusikiliza rufaa yake kwa tarehe nyingine itakayopangwa na mahakama hiyo.
 
Akitoa amri hiyo, Jaji Kileo alisema endapo padri huyo hatafika mahakamani baada ya matangazo hayo, rufaa hiyo itaendelea kusikilizwa upande mmoja.
 
Katika kesi ya msingi, Padri Kimaro alikuwa anakabiliwa na mashitaka matatu; kumlawiti mtoto wa miaka 17,  shambulio la aibu na kumdhalilisha mtoto huyo.
 
Ilidaiwa kuwa usiku wa Mei 18 mwaka 2005 katika eneo la Changanyikeni, Dampo, Padri Kimaro alikamatwa na askari aliyekuwa doria, akitenda makosa hayo.
 
Katika hukumu iliyotolewa Agosti 9, 2006 na aliyekuwa Hakimu Mkazi Mkuu wa mahakama hiyo,  Pelagia Khaday,  Padri Kimaro alipatikana na hatia katika makosa yote na kuhukumiwa adhabu ya kifungo cha miaka 35 jela na kulipa fidia ya Sh milioni mbili kwa mtoto aliyeathirika na kitendo hicho.
 
Alikata rufaa Mahakama Kuu iliyosikilizwa na Jaji Robert Makaramba, ambapo aliachiwa huru baada ya Jaji huyo kudai kuwa hakukuwa na ushahidi wa kutosha kumtia hatiani.
 

Hata hivyo upande wa Jamhuri umekata rufaa kupinga uamuzi huo wa kuachiwa huru kwa padri huyo wakiwa na hoja saba ya msingi, ikiwa ni kwamba Jaji aliyesikiliza rufaa hiyo alikosea kisheria na kiusahihi kueleza kuwa hapakuwa na ushahidi wa moja kwa moja kuhusu walichokuwa wakifanya mjibu rufani (padre) na mtoto huyo eneo la Dampo.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top