Habari Kali
Loading...

#Exclusive: Mambo 6 ya kufahamu kuhusu Linah na hit single ya ‘Ole Themba’

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Screen Shot 2014-09-01 at 1.49.10 AMNafasi yake nyingine kubwa ya kuzungumziwa toka ameanza muziki ni hii aliyoipata baada ya kufanya wimbo wa ‘Ole Themba’ na kundi maarufu la Uhuru South Africa.
Ni kolabo ambayo mpaka August 31 2014 usiku video yake YouTube ilikua imebakiza sio chini ya views elfu mbili ili kufikisha views laki moja za wote walioitazama toka iweke July 2014.
Yafuatayo ni mambo 6 ya kufahamu kuhusu Linah na hit single ya ‘Ole Themba’.
1. Video hii ya ‘Ole Themba’ imeanza kuchezwa kwenye vituo vikubwa vya TV Africa ikiwemo MTV Base pamoja na TV ya Ufaransa ya TRACE Urban ambao tayari wameshamtumia Linah mkataba wa makubaliano.
2. Wakati aliposafiri kwenda Afrika Kusini kuirekodi hii single na Uhuru, alikaa kwa mwezi mmoja bila kufanya chochote mpaka kufikia kukata tamaa manake Uhuru kama walimuwekea ‘pozi’ japokua Linah alikua na pesa mkononi tena milioni za Tanzania kwa ajili ya kulipia kurekodi nao hiyo single kama makubaliano yalivyokuwa.
3. Linah anasema Producer wa Uhuru aliwatajia hela nyingi kurekodi hiyo kolabo akidhani watashindwa kuilipia lakini haikua hivyo, mwanzoni aliwawekea pozi kwa kuagiza atumiwe link za video za Linah YouTube ili ajue uwezo wake lakini hakuwahi kuzitazama.
4. Producer huyu alikua akipigiwa simu mara nyingi lakini hakuwa anapokea na hata msg anaweza kujibu au kutojibu ambapo linah anasema ‘ilikua ngumu sana mwanzoni lakini baada tu ya kuingia studio kuweka voco ya kwanza nikapata na kolabo hapohapo, yani walikubali uwezo wangu’
Screen Shot 2014-09-01 at 1.35.21 AM5. Baada ya Uhuru kuona single ya ‘Ole Themba’ imeanza kuwa kubwa kwa kufanya vizuri kwenye Radio na TV kulitokea kama kutokuelewana kidogo kwa kuona Linah anaanza kupata hela.
6. ‘Waliitengeneza kama na wao wana haki na wimbo wenyewe lakini uzuri ni kwamba tulishasaini mkataba mwanzoni kuwa wimbo wametuuzia ni mali yetu na wala hawana haki yoyote, alietunga melody alisaini na tumemlipa so hausiki tena, tulimlipa kila mtu na kazi yake…. namshukuru Mungu iliisha vizuri’- Linah

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top