Habari Kali
Loading...

ORODHA NA PICHA ZA MAGARI YENYE SURA MBAYA DUNIANI

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
 
Black Falcon,ambalo limeundwa na Kampuni ya DARTZ Motorz Company,ya Uchina

 
Sehemu ya Tangazo la Gari hilo linalotarajiwa kuanza kuuzwa katika soko la magari la Mashariki ya Kati na Arabuni mapema mwaka huu

 
Gari hilo Black Falcon kama linavyoonekana kwa ndani; Limetengenezwa kama sehemu ya maadhimisho ya siku ya NYOKA inayosherehekewa nchini China

GARI BAYA ZAIDI KUWAHI KUTENGENEZWA DUNIANI...Ona hapo chini...

PICHA JUU: TOYOTA BB miongoni mwa magari yanayotajwa kuwa mabaya zaidi duniani

 
Miongoni mwa mengine pia limo Aston Martin Lagonda hilo hapo juu.



600-Aurora huenda likavunja rekodi,ambalo limeelezwa kufanana na mnyama Faru anaemkimbiza adui yake! baadhi ya Watoto wakiliona hili huanza kulia akiwemo mtoto wa Martin Jusper wa Uingereza anaelimiliki

Maelezo ya hili yamejitoshelezakatika picha AMC PACER ambalo liliundwa mwaka 1975.Ni baya lakini limeelezwa kuwa miongoni mwa magari yenye spidi kubwa enzi hizo.

Orodha bado ni ndefu; Pichani ni CHEVROLET CORVAIR ambalo likisahaulika 'haki haijatendeka!

Kampuni ya Magari ya FORD ni miongoni mwa makampuni maarufu ya magari duniani lakini hapa 'designing' iliwashinda! Hilo ni FORD EDSEL  liliundwa miaka 50 iliyopita.

Chevrolet hivi leo ni gari inayopendwa na kuhusudiwa na wapenzi wa magari duniani lakini designing hii duh! Hiyo ni Chevy Chevette
 iliyoundwa miaka kama 60 iliyopita lakini baada ya kutembea 40,000 Injini yake ikasambaratika kutokana na 'kuchemsha'

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top