Habari Kali
Loading...

BWANA HARUSI AINGIA MITINI MUDA MFUPI KABLA YA NDOA...NDOA YABUMA!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Aiseee! Ndoa ya binti aliyetambulika kwa jina moja la  Husna (16), imebuma baada ya bwanaharusi, Rahim (30), kuingia mitini muda mfupi kabla ndoa kufungwa.
Binti anayetambulika kwa jina moja la  Husna (16)(mwenye shela) , aliyetaka kuolewa na bwanaharusi, Rahim (30).
Tukio hilo la aina yake lilijiri maeneo ya Kitunda-Kati jijini Dar, wiki iliyopita ambapo chanzo makini kiliwajulisha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers kwamba, kuna ndoa ya mtoto inafungwa kinyume cha sheria.
Baada ya kunyetishiwa ishu hiyo, OFM walitinga kwenye sherehe hiyo na kuanza kuwahoji baadhi ya ndugu ambao walikiri kwamba kweli ile ilikuwa ni ndoa ya mtoto aliyeacha shule akiwa kidato cha pili.
Akizungumza na OFM, Husna alisema aliamua kuolewa kwa sababu aliacha shule kutokana na kukosa ada.
Husna akilia baada ya ndoa kubatilika.
Alisema kwamba, darasani alikuwa haelewi chochote alichokuwa akifundishwa hivyo hakuwa na kazi yoyote.“Baba na mama yangu wameachana siku nyingi, sasa nilikuwa nalipiwa ada na mama huku kipato chake kikiwa ni kidogo.
“Niliamua kuachana na shule maana nilikuwa sielewi chochote kwa sababu niliugua mapepo, nimeamua mwenyewe kuolewa jamani maana sina kazi ya kufanya,” alisema Husna.Baada ya baadhi ya watu kuwashtukia OFM, walimpa taarifa bwanaharusi kwa simu na hakuonekana na ndoa hiyo ikaishia hewani kwani jamaa huyo hakufika kwa kuhofia hilo.
Mama akimfariji Husna
Baadhi ya ndugu wa bwanaharusi walikuja juu na kutaka warudishiwe mahari yao lakini mjomba wa mtoto huyo aliwasihi kwamba watakaa kama familia na watazungumza na wako tayari kurudisha mahari.
Baada ya ndoa hiyo kubuma, mtoto Husna aliangua kilio huku akisema kwamba anampenda huyo mchumba’ke huku mama yake naye akiangua kilio akidai anaumia kwani hajui atakapozitoa hizo fedha za mahari shilingi laki nne kwani kipato chake ni kidogo.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top