Habari Kali
Loading...

Huyu ndio Mwanamke aliyefia uwanja wa ndege Kenya kwa tetesi za Ebola.!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Kila mmoja amekua na hofu akisikia au kukutana na mtu alietoka kwenye nchi zenye zilizoathirika kwa ugonjwa wa Ebola barani Afrika na ndio maana ubaguzi umeripotiwa katika nchi mbalimbali za Amerika, Ulaya na hata Afrika.
Ripoti mpya inasema Mwanamke mmoja wa Kenya amefia kwenye uwanja wa ndege Jomo Kenyatta Nairobi kwa tetesi kwamba alikua anaumwa Ebola au Marbug ambapo familia yake imeilaumu Serikali kwa kifo cha ndugu yao kwa kutelekezwa na wauguzi kwenye Clinic ya uwanja wa ndege waliokua na hofu ya kuambukizwa ugonjwa wa Ebola.
NTV Kenya wameripoti kwamba Marehemu ambae alikua mfanyabiashara aliondoka nchini Kenya na kuelekea Juba Sudan ambapo alipitia Uganda wakati mlipuko wa Marbug ulipotokea na alipowasili Juba alikua anavuja damu kwenye sehemu ya uzazi jambo lililofanya dada yake amrudishe Nairobi kwa ajili ya matibabu.

Baada ya ndege kutua tu Familia yake inasema hakuhudumiwa ipasavyo ambapo kwa muda wa dakika 120 Mama yake mzazi na rafiki yake walibaki kutazama tu hali yake ikiendelea kudorora na alikua akilalamika anaumwa kichwa na amemiss mtoto wake wa kiume.
Mama Wanjiku pamoja na rafiki yake pamoja na Marehemu waliwekwa kwenye chumba kimoja kwa zaidi ya saa tano kabla ya kuruhusiwa kuondoka ambapo Wanjiku alifariki dunia akiwa kwenye kiti cha magurudumu.
Mama mzazi na rafiki yake waliruhusiwa kuondoka kabla ya matokeo ya uchunguzi wa matibabu kutolewa, kama Marehemu alikua akiugua Ebola au Marbug basi kuachiliwa kwao kungepelekea kusambaa kwa ugonjwa huo kwa haraka….

CHANZO: Udakuspecially

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top