Habari Kali
Loading...

Tamko la Kanisa Katoliki kuhusu Wapenzi wenye mahusiano ya jinsia moja!! SOMA HAPA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Ripoti kutoka Vatican inasema ’Kanisa inabidi iwaruhusu na kuwakaribisha wapenzi ambao wapo kwenye mahusiano ya jinsia moja’.

Akizungumza na waandishi wa habari, katika mkutano uliofanyika Oct 13 ambao ulifanyika Jumatatu ili kutoa ripoti hiyo, Kadinali ‘Luis Antonio Tagle wa Philippines alisema ‘Wakatoliki wanafuatilia sana maswala ya umaskini, vita na uhamiaji na kuacha swala la watu ambao wapo kwenye mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja’.

Lugha hii mpya ya kuhusiana na mapenzi kati ya watu wa jinsia moja inalinganishwa na ‘utetemeko wa Mapasta’, alisema mmoja kati ya waandishi wa habari wa Vatican. ‘Swala la mahusiano ya wapenzi wa jinisia moja linaenda mbali sana mpaka kanisa nalo linajiuliza kama nalo likubali swala hilo bila kuharibu kanuni, sheria na imani za Kikatoliki’, alisema John Thavis.

Mchungaji James Martin ambae pia ni mwandishi wa neno la Mungu aliiita ripoti hii ya kuhusiana na mahusiano ya wapenzi wa jinsia moja kuwa ni tendo la “kimapinduzi’, aliendelea kusema kuwa mabadiliko yanayofanywa na kanisa la Kitatoliki kuhusu mahusiano ya wapenzi wa jinsia moja ni mazuri.

Aliongezea na kusema, ‘watu ambao wapo kwenye mahusiano ya mapenzi ya jinsia moja nao wana uwezo mkubwa wa kuchangia kwenye jamii yetu ya Kikristo’.

Wakatoliki wanaviita vitendo vya mahusiano ya mapenzi ya jinsia moja ‘vitendo visivyo na utaratibu’. Papa Francis, wakati anaongelea swala la kanisa la Kikatoliki mwaka 2013 alisema ‘mimi ni nani mpaka niwahukumu watu ambao wapo kwenye mahusiano ya kimapenzi ya jinsia moja?’.


Kwa ripoti iliyotolewa jana Oct 13 muhtasari wa wiki nzima kuhusiana mkutano uliofanywa na karibu Askofu 200, Makardianali na Makuhani pamoja na Papa Francis unaendelea, lakini mpaka sasa hamna mabadiliko yoyote ambayo yamefanywa.Majadiliano yanaendelea wiki hii na ripoti ya mwisho itatolewa mwisho wa wiki hii.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top