Habari Kali
Loading...

AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MIAKA 30 JELA BAADA YA KUMBAKA MTOTO WA MIAKA 3

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Wilson Saimon ‘Babu Nyemeni’ (21), mkazi wa Kijiji cha Mgeta wilayani Mvomero mkoani Morogoro aliyehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kudaiwa kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka mitatu.
DUSTAN SHEKIDELE-MOROGORO
USHIRIKINA? Katika hali ya kushangaza, Wilson Saimon ‘Babu Nyemeni’ (21), mkazi wa Kijiji cha Mgeta wilayani Mvomero mkoani Morogoro yamemkuta baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kudaiwa kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka mitatu.
Mama wa mtoto aliyebakwa.
Babu Nyemeni anadaiwa kufanya unyama huo mwishoni mwa mwaka jana, nyumbani kwa Angel Bosco ambaye alikuwa amekwenda kuimba kwaya kanisani na kumuacha nyumbani mtoto huyo (jina tunalihifadhi) akiwa na mfanyakazi wake wa ndani.
Wilson Saimon akiwa mikononi mwa Polisi.
Akisoma hukumu ya kesi hiyo katika Mahakama ya Wilaya ya Morogoro, Hakimu Mkazi, Regina Futakamba alisema siku ya tukio mtuhumiwa huyo ambaye ni jirani yake Angel, alimuomba mtoto huyo kwa mfanyakazi wa ndani na kumwambia anakwenda kumnunulia pipi, mfanyakazi alimkubalia ndipo alipokwenda kumbaka kichakani, jambo ambalo mtuhumiwa huyo alilikiri mahakamani.
Alisema mtoto huyo alikutwa katika kichaka kilicho nje kidogo ya kijiji hicho akiwa analia kwa maumivu ndipo walipompeleka kwenye Zahanati ya Mgeta alikobainika alibakwa na kuharibiwa sehemu za siri.
Hakimu Regina alisema kutokana na kosa hilo, mtuhumiwa alitakiwa kufungwa kifungo cha maisha lakini alitoa nafasi kwa mtuhumiwa kujitetea ambapo alijitetea na hakimu kumpunguzia adhabu hiyo kwa kumfunga miaka 30 jela ili iwe fundisho kwa wengine.
Wakizungumzia tukio hilo, baadhi ya wananchi wa Mgeta walilihusishwa tukio hilo na imani za kishirikina kwani walisema walishangazwa na mtuhumiwa kumbaka mtoto mdogo kiasi hicho.
“Mh! Hii nahisi inawezekana kadanganywa na waganga kwamba atembee na mtoto mdogo ndiyo apate utajiri maana haya mambo nayo yapo,” alisema mkazi mmoja wa Kijiji cha Mgeta.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top