Habari Kali
Loading...

HUKU AKISAKWA KUMPASUA KICHWA MTU TID AMPIGA MENEJA WAKE!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
ISSA MNALLY
PEPO la ugomvi linazidi kumuandama staa wa Bongo Fleva, Khaleed Mohamed ‘TID’, baada ya kusakwa na jeshi la polisi kwa kosa la kumjeruhi mtu mwishoni mwa wiki iliyopita, msanii huyo ametengeneza kicha cha habari kwa mara nyingine akidaiwa kumpiga meneja wake aliyefahamika kwa jina la Tall Mnyama.
Staa wa Bongo Fleva, Khaleed Mohamed ‘TID’.
Katika tukio la awali, TID alidaiwa kutembeza kichapo na kumjeruhi James Richard, mkazi wa Jiji la Dar kwa kosa alilodai kuwa ni kupaki gari kwenye eneo lake, maeneo ya nyumbani kwa msanii huyo, Kinondoni-Sterio jijini Dar.
Tukio la kumpiga meneja wake, TID anadaiwa kulifanya katika Hotel ya Element, Oysterbay ambapo inaelezwa kuwa msanii huyo alifika hotelini hapo akiwa na wapambe wake na alipomkuta meneja huyo, alibishana naye kwa muda mfupi kisha kumzaba kibao.
“Alimkuta mwenzake (Tall) kaka sehemu, akamsemesha na alipojibu tu akamzaba kofi, lakini huyu meneja wake alikuwa mstaarabu, hakumlipizia. Baada ya tukio hilo TID alitokomea na kama unavyojua sasa hivi anaishi kama digidigi, mbaya zaidi watu wanasema asipompiga mtu hasikii raha,” kilidai chanzo chetu.
Chanzo hicho kilizidi kumwaga ‘ubuyu’ kuwa, meneja huyo baada ya kupokea kipigo hicho, alikwenda kutoa taarifa katika Kituo cha Polisi Oysterbay kilicho chini ya Camillius Wambura (pichani) ambapo lilifunguliwa jarada lililosomeka; OB/RB/3922/2015/TAARIFA.
RPC Camillius Wambura.
Mwanahabari wetu alipomtafuta meneja huyo kuhusiana na tukio hilo, alikiri kuwa limemtokea lakini akasema hakutaka kulivalia njuga lakini alichokifanya ni kutoa taarifa polisi ili endapo atarudia, amchukulie hatua kali zaidi za kisheria.
“Ni kweli TID alinishambulia kwa kunipiga kibao, iliniuma sana lakini nimeamua kumsamehe, nilichokifanya ni kutoa taarifa polisi ili kama atarudia nimfikishe katika vyombo husika,” alisema meneja huyo.
Jitihada za kumpata TID ili aweze kuzungumzia tukio hilo hazikuzaa matunda kufuatia simu yake kutopatikana hewani.Jitihanada za kumpata Wambura hazikufanikiwa baada ya simu yake kuita bila kupokelewa kwa siku ya juzi.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top