
Siwema ambaye ni mzazi mwenzake na Nay wa Mitego alikuwa wa kwanza kuweka post kwenye ukurasa wake Instagram.. aliandika kwamba Curtis ambaye ni mtoto wa Nay sio mtoto wa msanii huyo ila baba yake anaitwa Obasanjo.
Kingine Siwema amelalamika kuhusu Nay ambaye ni mzazi mwenzake kumnyanyasa na pia kuongea vitu ambavyo sio kweli ikiwemo Nay kusema kwamba alimnunulia gari.
Nay muda mfupi aliandika pia kwenye ukurasa wake wa Instagram; “Huyu
ni malaika wa Mungu… Hajui chochote.. Km kuna mtu anasema ni wake aje
amchukue nitampa bila malumbano,, Am a gentleman. Nawapenda wanawake
wote mnaojitambua“– @naytrueboy
Story ya Nay wa Mitego kumchukua
mtoto wake ilisikika kwenye AMPLIFAYA March 17 2015 akisema anamchukua
mtoto wake ili akalelewe na mama yake lakini hana ugomvi wowote na mzazi
mwenzake.




Hakuna
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >