WAKAZI wa Mkoa wa Shinyanga wamekumbwa na mshituko baada ya mama mmoja mwenyeji wa Ndembezi mkoani humo kujifungua mtoto wa ajabu, Amani limeinasa.
Tukio hilo lilijiri usiku wa kuamkia Machi 12, mwaka huu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga.
Kwa mujibu wa watu waliomwona mtoto huyo waliliambia Amani kwamba, alizaliwa akiwa na masikio yote kwenye shingo, kuanzia kidevuni kwenda kwenye paji la uso vitu vyote vimeangalia juu.
“Yaani ni mtoto wa ajabu sana. Masikio yapo shingoni. Mdomo, pua na macho vyote vimeangalia juu mpaka anatisha sana,” kilisema chanzo kimoja.Kwa mujibu wa chanzo hicho, madaktari wa hospitali hiyo wamekuwa wakiona akina mama wakijifungua watoto wa ajabu mara kwa mara lakini wanakiri mtoto huyu wa safari hii ni wa ajabu zaidi kuzaliwa katika hospitali hiyo.
“Huwezi kuamini ndugu mwandishi jana asubuhi (siku ya tukio) kwenye vikao vya kawaida vya kila siku hospitalini waliongelea kuzaliwa kwa mtoto huyo wa ajabu, ujue ni ishu nzito kwao,’’ kilisema chanzo hicho.

Ilidaiwa kuwa, baada ya mama mzazi kuambiwa hali ya mtoto huyo na kuoneshwa alibaki kumwaga machozi asijue la akufanya lakini alijipa moyo na kusema: “Kila jambo hupangwa na Mungu mwenyewe.”
Hata hivyo, baadhi ya wakazi wa eneo hilo walisema kuwa, inabidi kuomba mizimu mara kwa mara ili kuepukana na mikosi kama hiyo.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >