Habari Kali
Loading...

AJALI HIZI, KUNA KITU..SIO BURE!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Ajali iliyohusisha basi la kampuni ya Nganga na Fuso yakiwaka moto.
KWANZA kabisa tumshukuru Mungu kwa kutuweka hai, hakika yeye anastahili kuabudiwa kila siku.
Baada ya kusema hayo nianze kwa kuwataka wasomaji wangu kutafakari kwa kina hizi ajali za mabasi zinazotokea mara kwa mara katika barabara za nchi yetu.

Kwa muda wa siku zisizozidi kumi na nane zimetokea ajali mbaya tatu za mabasi na kusababisha Watanzania wenzetu zaidi ya ishirini kupoteza maisha.Kule Mkata, Handeni Tanga watu kumi walifariki dunia baada ya mabasi kugongana na njia ya Mikumi, Morogoro mabasi yaligongana na watu wawili waliaga dunia na kuacha wengi wakiwa majeruhi.
Jumapili iliyopita katika eneo la Ruaha Mbuyuni basi liligongana na Fuso na kusababisha watu kadhaa kufariki dunia na wengine kujeruhiwa. Sasa tuseme basi na kuepuka ajali za kizembe, inawezekana.Wakuwalaumu katika ajali hizi ni madereva wetu wanaopewa dhamana ya kusafirisha abiria. Nasema kuna kitu, bila kumung’unya maneno niseme ukweli tu kwamba baadhi ya madereva ni walevi.
Hili ninalolisema polisi ni mashahidi kwa sababu baadhi yao wamewahi kuwakamata madereva wa mabasi wakiwa wamelewa na kuwakataza kusafirisha abiria.Zoezi hilo linatakiwa kuwa la kudumu, kwa sababu tunajua wazi kwamba sasa hivi hakuna utaratibu wa vinywaji vikali kuuzwa na kununuliwa kwenye baa, viroba vinauzwa kila mahali, stendi za mabasi ya kwenda mikoani na hata zile stendi za daladala, Bajaj na bodaboda.
Ukweli ni kwamba madereva wa vyombo vya moto baadhi yao wanafanyakazi wakiwa wamelewa.
Ipo haja kwa jeshi la polisi kupitia kikosi chake cha usalama barabarani kuliangalia hili kwa sababu ni wazi kwamba watu wengi wanafariki dunia na wengine kupata vilema vya maisha kutokana na uzembe wa mtu mmoja tu, dereva.

Ipo haja ya kuhakikisha madereva wote wanapimwa ulevi, siyo mwanzo wa safari tu bali hata kwenye vituo vingine njiani kwa sababu baadhi ya madereva hufungasha viroba kwenye mabegi yao na kunywa njiani, hivyo kuhatarisha usalama wa abiria na mali zao.
Lakini pia kuna baadhi ya madereva wa mabasi na malori ambao hawazingatii sheria za usalama barabarani kwa ‘kuovateki’ magari kwenye kona au mlimani, hawa nao ni wazembe na uzembe wao husababisha maafa.
Madereva wote wa aina hii wanapogundulika ni vema serikali ikawafungia kuendesha vyombo vya moto badala ya kuwatoza faini kwa sababu makosa wanayoyafanya ni kisababishi cha vifo kwa watu wasio na hatia.

Nimuombe Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Barabarani Tanzania, DCP Mohamed Mpinga kuwa mkali kwa askari wanaowaachia madereva walevi na wanaokiuka sheria za usalama barabarani.Sipendi kumfundisha kazi lakini ipo haja sasa kuhakikisha yeye mwenyewe na maofisa wa ngazi za juu wa kikosi chake wanafanya ukaguzi wa kushitukiza ili kukomesha uzembe huo.
Yeyote anayezembea katika hili achukuliwe hatua stahiki kwa sababu ambazo nimezitoa hapo juu, hakika tumechoshwa kushuhudia wananchi wasio na hatia wakifariki dunia kwa uzembe wa wachache.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top