Habari Kali
Loading...

Kundi lingine la watoto limekutwa kwenye misikiti ya mji wa Dodoma!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Kuna tetesi kuwa kuna kundi la watoto zaidi ya mia, wengine wakiwa na miaka mitatu tu,wamekutwa kwenye misikiti mbali mbali ya mji wa dodoma. Wengi wakitokea mikoa mbalimbali ya Tanzania.

Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mjini, ambaye ni mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, Betty Mkwasa alisema jana kuwa aliyoyaona katika kituo hicho hayakubaliki.

“Kwanza watoto wanalala wengi, hakuna hewa ya kutosha, wanajipikia wenyewe chakula na hawana uangalizi wa watu wazima,” alisema Mkwasa.

Alisema serikali haikatai dini yoyote kufundishwa kwa watoto bali taratibu, kanuni, sheria pamoja na haki za mtoto lazima zifuatwe.

“Siwezi kujua walikuwa wanafundishwa nini lakini baada ya upembuzi yakinifu utakaofanywa na wataalam ambao nimekuja nao, tutaweza kuzungumza kama walifuata kanuni na utaratibu,” alisema.

Mwananchi ilipofika katika moja ya kituo hicho, jana asubuhi lilikuta watoto hao wakicheza kwenye eneo hilo lililokuwa chini ya ulinzi wa polisi waliokuwa na silaha za moto.

Watoto wengi walikuwa hawajavaa viatu na baadhi yao walisema kuwa viatu walivyokuja navyo kutoka makwao vimeshakwisha.

Bakwata

Sheikh mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mustafa Shaaban Rajabu alisema wanakitambua kituo hicho kama ilivyo kwa vituo vingine vinavyofundisha dini ya Kiislamu.

Sheikh huyo alipinga suala la watoto kukosa elimu, akisema wazazi wao wamehiyari vijana wao kusoma dini tu.

“Naomba ifahamike kuwa, wapo wazazi ambao wanapenda watoto wao wasome dini tu na hata mimi nilisoma hivyo kabla ya kwenda nje kwa masomo zaidi na kurudi,” alisema.

Alipinga suala la kusajiliwa kwa kituo akisema viko vituo vingi havijasajiliwa hata katika dini nyingine, lakini havisumbuliwi na kushangazwa kuona utaratibu wao unakuwa na shida.

Kwa upande mwingine alishauri Bunge kutunga sheria kali kwa ajili ya kuvilazimisha vituo vyote kuwa na usajili ili viweze kufuatiliwa kulingana na matakwa ya serikali.

Kwa upande wake, katibu wa Bakwata mkoani hapa, Hassan Kuzungu, aliyeongozana na kamati hiyo, alieleza kusikitishwa na kitendo cha mazingira waliyokuwapo watoto hao.

Mwenyekiti wa Mtaa wa Nkhungu, Kasian Mponela alisema kuwa amekuwa akiwaona watoto hao, lakini hajui wanachojifunza hapo.

Alisema suala la kuangalia kama wanajifunza dini au mambo mengine sio jukumu lake, kwani yeye anajua kila mtu anapanga mwenyewe matumizi ya nyumba yake.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top