Habari Kali
Loading...

MEMBE: HAKUNA MTANZANIA ALIYEUAWA AFRIKA KUSINI

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Waziri wa Mambo ya  Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,  Bernard Membe akitoa tamko.
…Akisisitiza jambo.
Sehemu ya wanahabari na wageni wengine waliofika kwenye hafla hiyo.
WAZIRI wa  Mambo ya  Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema kuwa hakuna  Watanzania waliouawa nchini Afrika Kusini kutokana na machafuko yanayoendelea nchini humo.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam, Membe amesema kuwa serikali itawarudisha watu 21 tu ambao wamepata matatizo ya kuvamiwa  na ambao wako Ubalozi wa Tanzania wakiwa wamehifadhiwa.
 

Alisema kuwa serikali kamwe haitamrejesha Mtanzania yeyote  ambaye atatumia machafuko hayo yanayoendelea nchini humo kama njia ya kurudi Tanzania, kwani wapo Watanzania wengi wako huko na hawana vibali vya kuishi nchini humo.
Vilevile, alisema kuwa jambo ambalo serikali inasubiri kwa sasa ni kupata ruhusa kutoka ubalozi huo ili kuwarejesha Watanzania hao  waliokubali kurudi nyumbani.
Membe amekanusha  taarifa zilizokuwa zikiripotiwa kwenye mitandao ya kijamii  na baadhi ya vyombo vya habari  vikidai kuwa Watanzania watatu wamefariki kutokana na machafuko hayo.  Alisema Watanzania hao watatu wamefariki kutokana na magonjwa na si kwa sababu ya machafuko hayo
 

Amewataja watu hao kuwa ni Athumani China ambaye amekufa kutokana na kupigwa na wananchi wenye hasira baada ya kumpora mzawa wa huko.  Mwingine ni Ally Mohamed aliyefariki kutokana na kifua kikuu, na mwingine aliyefia gerezani.
Waziri huyo amewataka Watanzania waishio nje ya nchi kupendana na  kuwa pamoja ili matatizo kama hayo yanapotokea iwe rahisi kwa serikali kutoa msaada.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top