Habari Kali
Loading...

SAD NEWS: BOKO HARAM YASHAMBULIA CHUO NIGERIA, 12 WAJERUHIWA VIBAYA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Shambulio la Boko Haram nchini Nigeria.
Mtu mmoja anayesadikiwa kuwa mwanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram, amefanya shambulizi la kujitoa mhanga katika Chuo kimoja cha Masomo ya Uongozi wa Biashara nchini Nigeria na kuwajeruhi wanafunzi kadhaa.
Tukio hilo limetokea jana Mei 8, 2015 baada ya mtu huyo kuvuka geti na kuingia ndani ya chuo hicho na kutekeleza shambulio hilo kwa kufyatua risasi kisha kujilipua kwa mabomu.
Madhara ya shambulio la Boko Haram nchini Nigeria.
Vyombo vya habari nchini Nigeria vimeripoti kuwa, shambulizi hilo lilifanyika katika Chuo kimoja cha Masomo ya Uongozi wa Biashara kilichopo mji wa Potiskum katika jimbo la Yobe Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo.
Katika shambulio hilo, watu 12 wanasemekana kujeruhiwa wakiwemo wanafunzi wa chuo hicho na wengine wakiwa katika hali mbaya.
Hii ni katika hali ambayo mtu mwingine aliyekuwa amejifunga mabomu amepoteza maisha baada ya mabomu hayo kumripukia kabla ya kufika eneo alilokusudia kufanya shambulio.
“Tumewaona watu 12 waliojeruhiwa vibaya na shambulio hilo ambao wamepelekwa hospitali kwa matibabu”.
“Tulikuwa ndiyo tumeingia darasani kuanza vipindi, tukasikia milio ya bunduki kutoka kwenye usawa wa geti la kuingia chuoni, hapo tukagundua kuwa tumevamiwa ndipo kila mtu akaanza kukimbia kutoka darasani ili kunusuru maisha yake” Tijjani Musa, alisema.
Ingawa hakuna kundi lolote lililotangaza kuhusika na mashambulizi hayo, lakini polisi ya Nigeria imelitaja kundi la kigaidi la Boko Haram kuwa ndilo linalohusika.
Watafiti wa mambo wanayataja mashambulizi hayo kuwa ni juhudi za mwisho za Boko Haram katika kuonesha uwepo wake, baada ya kuzidiwa nguvu na jeshi la Nigeria hivyo kuyakimbia maeneo mengi liliyokuwa likiyadhibiti.
CHANZO: MTANDAO WA PULSE.NG

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top