Habari Kali
Loading...

Unajua sasa ukiingia na Kuku uwanja wa taifa utapata adhabu ya kwenda jela kwa muda gani? Hii hapa

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
SHABIKI yeyote atakayeingia uwanjani na mnyama yeyote iwe kuku au njiwa atakumbana na rungu la sheria ya kufungwa jela siku 90 au faini ya Sh. 100,000.
Katika siku za hivi karibuni baadhi ya mashabiki wamekuwa na kawaida ya kuingia uwanjani na ndege wakiwemo kuku au njiwa na kuwashikilia muda wote wa mchezo kitendo kinachozua usumbufu kwa mnyama.
SAM_2239
Akizungumza na Mwanaspoti, Mkurugenzi wa Taasisi ya Ustawi wa Wanyama Tanzania (Taweso), Dk. Thomas Kahema alisema, mtu yeyote anayeingia na wanyama uwanjani anapaswa kuhakikisha anampatia huduma muhimu mnyama vinginevyo anashtakiwa kwa mujibu wa sheria ya wanyama ya mwaka 2008.
“Sheria ipo wazi, tukimkuta mtu wa aina hiyo anapigwa faini ya Sh. 100,000 au anaenda jela kwa muda wa miezi mitatu, hairuhusiwi kubughudhi wanyama, pale uwanjani kuna kelele na huwa wanawanyima uhuru wanyama,” alisema Kahema.
Naye Mkuu wa Vikosi vya Mbwa na Farasi wa Jeshi la Polisi Tanzania, Mrakibu Mwandamizi Dk. Eugene Emmanuel  aliliambia Mwanaspoti kuwa: “Huo ni ukatili wa wanyama na hairuhusiwi kuingia na mnyama yeyote uwanjani bila sababu ya msingi, nazungumza na askari wangu kuwapa agizo kumkamata yeyote atakayeingia na ndege uwanjani bila sababu ya msingi.”
Hata hivyo shabiki wa Yanga, Ally Ramadhani, ambaye amekuwa akionekana na kuku mara nyingi Uwanja wa Taifa amewahi kuliambia gazeti hili kwamba huwa anaingia na kuku huyo uwanjani kwa imani ya timu yake kupata mabao.
Aliingia na kuku mmoja Yanga ilipocheza na Al Ahly katika Ligi ya Mabingwa Afrika na timu hiyo ikashinda bao 1-0.
SOURCE: MWANASPOTI

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top