BONGE la Bwana, Jacob Stephen ‘JB’ amewaasa wasanii wa kike akiwataka wajitambue ili waweze kuishi kwa muda mrefu katika gemu la sanaa.
Akizungumza katika sherehe ya kuzaliwa msanii Wastara Juma alisema, wasanii wengi wa kike wana muda mchache sana kwenye tasnia ya sanaa, ila kwa Wastara kajitahidi sana na bado anaendelea kuishi katika sanaa kutokana na kujitambua kwake.
“Nawasihi wasanii wengine wa kike kuiga maisha ya Wastara pamoja na misukosuko ya maisha ya hapa na pale lakini bado anajitambua, anapigana na kusimama, ujue wanawake muda wao ni mchache katika sanaa tofauti na wanaume lakini kwa Wastara bado yuko,Happy birthday Wastara,’ alisema JB.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >