Habari Kali
Loading...

INASIKITISHA SANA..!! MWINGINE AFARIKI DUNIA! WALIOFUNGIWA NDANI MIAKA 10

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Na Haruni Sanchawa BINTI Muhadia Juma ambaye alikuwa mmoja wa watoto watatu waliofungiwa ndani ya nyumba kwa miaka kumi na mama yao mzazi, Mwasiti Ally katika Kijiji cha Kanga, wilayani Mafia amefariki dunia Aprili 15, mwaka huu.Huyu ni kijana wa pili kufariki dunia baada ya  Ally Juma kuaga dunia hivi karibuni na kufanya aliyebaki hai kuwa mmoja, Mzee Juma.
Mwili wa Muhadia Juma ukizikwa.
Muhadia alichukuliwa kijijini kwao na kupelekwa Hospitali ya Wilaya ya Mafia kwa matibabu na mkuu wa wilaya hiyo, Dk. Nassoro Hamid aliyepata taarifa za kufungiwa ndani kwa miaka kumi na mama yao kupitia gazeti hili toleo la Machi 31, mwaka huu lililokuwa na kichwa cha habari ‘MAMA AWAFUNGIA NDANI WANAYE 3 KWA MIAKA 10.’
Habari kutoka Mafia zinasema Muhadia baada ya kufikishwa hospitalini, alianza kupatiwa matibabu na lishe bora lakini siku hiyo ya kifo chake (Aprili 15) hali yake ilibadilika ghafla na kuaga dunia saa 1.30 usiku.Marehemu huyo alizikwa  Aprili 16, mwaka huu katika Kijiji cha Kanga  kilichopo kilomita 40 kutoka Mafia mjini ambapo gharama zote za mazishi ziligharamiwa na ofisi ya mkuu wa wilaya.
Muhadia Juma enzi za uhai wake.
Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu juzi, Mkuu wa Wilaya,  Dk.Hamid alisema amesikitishwa na vifo vya ndugu hao wawili waliokufa kwa mateso makubwa na ya muda mrefu.“Ni bahati mbaya sana ofisi yangu ilipata taarifa juu ya wagonjwa hao wakiwa katika hali mbaya. Nitoe wito kwa  wananchi kwamba wanapokuwa na matatizo kama hayo wasifiche, watoe taarifa serikalini ili washughulikiwe mapema,” alisema.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top