Habari Kali
Loading...

AIBU...!! MSANII FEROOZ MBARONI KWA UTAPELI!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Mayasa Mariwata na Makongoro Ogin’g
Tena? Kwa mara nyingine staa wa Bongo Fleva, Ferooz Mrisho ametiwa mbaroni kwa utapeli akidaiwa ‘kuchikichia’ fedha za kumpangisha nyumba jamaa aliyejitambulisha kwa jina la Tony Noah kiasi cha zaidi ya Sh. milioni 3.2 kisha kuingia mitini ikielezwa kuwa nyumba hiyo ina mgogoro.

Staa wa Bongo Fleva, Ferooz Mrisho.
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha kuaminika, ilidaiwa kwamba, staa huyo aliyewahi kutamba na Ngoma ya Starehe amekuwa na tabia ya kuwaingiza watu mkenge kwa lengo la kutafuta mpangaji kwenye nyumba hiyo iliyopo Sinza- Mori, Dar ambayo anaishi na ndugu zake.
Kilitiririka kuwa, awali Ferooz alikuwa akitafuta mpangaji wa nyumba hiyo kupitia kwa dalali ndipo Tony akavutiwa na nyumba hiyo na kukubaliana kutoa kodi ya Sh. milioni 3, 250,000 kwa mwaka.Kilidai kwamba Tony alipomlipa Ferooz fedha hiyo, Machi 14, mwaka huu ndipo akaanza kumpiga kalenda ndipo aliamua kulipeleka shauri kwenye chombo cha sheria.
Kutokana na sekeseke hilo, mwanahabari wetu alimtafuta Tony ambaye alisema kuwa, baada ya kukubaliana na Ferooz kumpa fedha hizo na kuona anaanza kumzungusha kuhamia kwenye nyumba hiyo alimwambia waandikishiane kwenye Kituo cha Polisi Kijitonyama, Dar (Mabatini) kuwa atamlipa fedha hizo Aprili 15 lakini Ferooz hakufanya hivyo.
Kutokana na ishu hiyo, hadi gazeti hili linakwenda mtamboni, Ferooz alikuwa ameshikiliwa Mabatini kwa jalada la kesi namba KJN/RB/3898/15 KUJIPATIA FEDHA KWA NJIA YA UDANGANYIFU.Mwaka jana Ferooz alishikiliwa kituoni hapo kwa msala wa kukamatwa na bangi.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top