Habari Kali
Loading...

MAKAVU LIVE...!! HIVI WASANII MTAKUWA NA UCHUMBA‭, ‬NDOA ZA MAIGIZO MPAKA LINI‭?‬

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Kwenu mastaa wa tasnia mbalimbali Bongo‭, ‬habari zenu bwana‭. ‬Poleni na majukumu ya kila siku ya kulijenga taifa‭.‬
Mkitaka kujua afya yangu‭, ‬mimi ni mzima‭, ‬namshukuru Mungu naendelea kutimiza majukumu yangu‭, ‬likiwemo hili la kuwaandikia barua‭.‬

Nimewakumbuka leo kupitia barua‭, ‬nataka kuwaambia kwamba mimi pamoja na mashabiki wengine wa sanaa yenu tumewachoka‭. ‬Tumechoka kuona na kusikia kila siku mkifanya maigizo kwenye maisha yenu halisi‭.‬
Hivi ni kwa nini kila kukicha tunasikia mnaachana‭? ‬Kwa nini hamdumu kwenye uhusiano wa mapenzi‭? ‬Kwa nini hamdumu kwenye ndoa kama mashabiki wenu wanavyowategemea‭?‬

Penzi linapoanza kushamiri‭, ‬mnalinadi kwenye mitandao na vyombo vya habari‭. ‬Mnawaaminisha mashabiki wenu kuwa mnapendana kwa kauli zenu motomoto lakini ndani ya miezi miwili mitatu penzi chali‭.‬Wengine mnaonesha kwamba mmedhamiria na kuamua kufunga ndoa kabisa‭, ‬lakini kumbe moyoni bado mnakuwa mna lenu jambo‭. ‬Mashabiki wenu wanafurahia kuona mmeoana lakini ndoa nayo haidumu‭, ‬mnaachana‭.‬
Mbaya zaidi mnapoachana mnapeana maneno ya kashfa‭, ‬mnaumbuana kiasi ambacho kinadhihirisha kabisa mlikuwa hamna mapenzi ya dhati‭ ‬au hamkudhamiria kabisa kuingia kwenye ndoa‭.‬Hivi kama kweli mlipendana‭, ‬nini kinawafanya muanze kuumbuana‭? ‬Badilikeni‭, ‬mashabiki wenu wamechoka kusikia kila kukicha ndoa ya‭ ‬staa fulani imevunjika‭, ‬wachumba fulani wameachana‭, ‬ni aibu‭.‬
Watu hawapendi kuona Nay wa Mitego na Siwema mkiwa mmeachana‭. ‬Tena mnaachana kwa kupeana maneno yanayoonesha kwamba mlikuwa hamna nia ya dhati ya kuwa wapenzi‭.‬Shamsa Ford na Dick‭, ‬kapo yenu ilikuwa nzuri‭. ‬Mlipamba vyombo vya habari‭, ‬uhusiano wenu ukazaa matunda ya mtoto mmoja lakini ndoto ya kuishi kama mume na mke imeyeyuka‭.‬
Nasibu Abdul‭ ‬‮!‬٪Diamond‮!&‬‭ ‬na Wema Sepetu penzi lenu lilikuwa likipendwa‭  ‬na wengi‭, ‬likaishia njiani‭. ‬Rose Ndauka na Malick Bandawe mlioishi na kubahatika kupata mtoto mmoja‭, ‬nini kiliwakuta‭? ‬Inasikitisha‭.‬Wolper na Dallas nao walipamba sana vyombo vya habari lakini mwisho wa siku chali‭. ‬Ndugu zangu‭, ‬mnapaswa kubadilika‭. ‬Msiigize maisha yenu‭. ‬Igizeni kwenye filamu‭, ‬mkirudi nyumbani mjitambue kwamba heshima‭, ‬upendo‭, ‬busara vinahitajika ili kuishi na mwenzako‭.‬
Mbona wapo wasanii wengi tu maarufu duniani na wamedumu kwenye uhusiano‭? ‬Kwa nini msiige mfano kwa mastaa kama Marlaw na mkewe‭, ‬Jay Z na Beyonce ambao wanaheshimu penzi lao hadi sasa‭?‬Jamani‭, ‬cha msingi mnapaswa kuheshimu suala la uhusiano‭, ‬msifanye masihara katika maisha ya ukweli‭.  ‬Vitu vingine vinapaswa kufanyika kwenye filamu pekee na siyo kuvihamishia katika maisha halisi‭.‬
Bila shaka mtakuwa mmenielewa na mtabadilika‭, ‬kila la kheri‭.‬

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top