Habari Kali
Loading...

Hivi ndivyo Jinsi wezi walivyoiba njia ya reli Afrika Kusini.

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Wezi wa vyuma chakavu nchini Afrika kusini wameiba takribani kilomita 10 za reli ya mizigo inayotumika na kusababisha uharibifu wa takribani dola milioni 2.3.
Kipande cha reli hiyo kilichoharibiwa vibaya kimesababishwa na wezi waliotekeleza uhalifu huo miezi kadhaa iliyopita kutoka sehemu inayosafirisha treni kutoka mji wa Johannesburg hadi Nigel, ambapo wanaume watano wamefikishwa mahakamani baada ya kukutwa wakifanya kitendo hicho na askari waliokuwa doria.
Mmoja wa viongozi wa kamati ya usafirishaji ya Afrika Kusini Thumbu Mahlangu,amenukuliwa akisema kuwa wezi hao ni wataalamu sana na hawafanyi makosa wanapofanya uhalifu wao.
Tatizo la wizi wa vyuma kwenye reli limekuwa likikumba nchi nyingi za kiafrika ikiwemo Tanzania ambapo wahalifu wamekuwa wakiharibu miundombinu ya reli na wakati mwingine kusababisha ajali kutokana na wizi huo.
reli

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top