Habari Kali
Loading...

KICHANGA KILICHOOPOLEWA CHOONI TANGA CHATIMIZA MWEZI MMOJA..SOMA ZAIDI

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Walezi wa kwaya ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Francis Mihayo (kushoto) na Sylvester Tyienyi wakiwa na kichanga kilichoopolewa chooni mkoani Tanga ambacho kimetimiza mwezi mmoja sasa.
Mlezi wa kwaya ya Kanisa Katoliki la Mtakatifu Aloyce Gonzaga Parokia ya Mtakatifu Yohana Mbatizaji Luhanga Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Francis Mihayo, akiwakabidhi watoto wa kituo cha kulelea Watoto Yatima cha Casa Della Diaia (Nyuma ya Furaha) cha Bombo Tanga, msaada wa vyakula na vitu mbalimbali walipotembelea kituo hicho.
Francis Mihayo akimkabidhi mlezi wa watoto wa kituo cha Casa Della Dioia  (Nyumba ya Furaha), Sister Consolata cha Bombo Tanga msaada wa vyakula na vitu mbalimbali.
Francis Mihayo akiwa amembeba mmoja wa watoto waishio katika mazingira magumu wa kituo cha Casa Della Dioia (Nyumba ya Furaha) wengine wakiwa  wamemzunguka.
KICHANGA kilichoopolewa kutoka chooni maeneo ya Pongwe mkoani Tanga kimetimiza mwezi mmoja sasa.
Kichanga hicho kiliopolewa na wasamalia wema na baadaye kupelekwa katika kituo cha Kulelea Watoto Yatima cha Casa Della Diaia (Nyuma ya Furaha) na sasa kimetimiza mwezi mmoja tangu kikabidhiwe katika kituo hicho na hali yake ya kiafya inaendelea vizuri.
Wanakwaya wa Kanisa Katoliki la Mtakatifu Aloyce Gonzaga, Parokia ya Mtakatifu Yohana Mbatizaji Luhanga Jimbo Kuu la Dar es Salaam walibahatika kutembelea kituo hicho na kutoa msaada wa vyakula na vitu mbalimbali wakiwa katika ziara ya kutembelea parokia tarajiwa ya Mtakatifu Yohana Mbatizaji ya Jimbo Katoliki la Chumbageni mkoani Tanga.
Kituo hicho kina jumla ya watoto 47, mtoto mkubwa akiwa na  miaka 22 na mdogo ana mwezi mmoja.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top