Habari Kali
Loading...

UNYAMA...!! AMUUA MAMA YAKE BAADA YA KUMPIKIA MAGIMBI BADALA YA UGALI

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

MWANAMME aliyefahamika kwa jina la Kiswigo Anganisye (33) mkazi wa kijiji cha Ibungila, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumpiga fimbo mama yake mzazi  sehemu ya kichwani na usoni na kisha kumnyonga shingo na kusababaisha kifo chake,baada ya kumpikia magimbi badala ya ugali.


Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, Kamishna msaidizi mwandamizi wa polisi, Ahmed Msangi, mwanamke  aliyeuawa ni Martha Kyando (73) mkazi wa kijiji cha Ibungila.

Alisema tukio hilo lilitokea Julai mosi mwaka huu  majira ya saa 6:30 usiku katika kitongoji cha Mpunguti kijiji cha Ibungila kata ya Malindo, tarafa ya Ukukwe wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya.

Alisema chanzo cha mauaji hayo ni baada ya mama huyo kumpikia mtuhumiwa magimbi badala ya ugali, ambapo alichukia na kumpiga  mama yake.


Alisema  uchunguzi unaonesha mtuhumiwa huyo anasumbuliwa na ugonjwa wa akili, na kwamba bado uchunguzi zaidi unaendeea, ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yake.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top