Habari Kali
Loading...

UNYAMA...!! Mtoto wa Miezi 7 ALAWITIWA na Baba yake Mzazi..!!!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Mtoto mwenye umri wa miezi saba amelawitiwa na baba yake mzazi.
Mtoto huyo alifikishwa Hospitali ya Amana katikati ya wiki iliyopita kwa maelezo kuwa ana maradhi ya kuharisha, lakini baada ya madaktari kumfanyia uchunguzi walibaini kuwa mtoto hakuwa na ugonjwa wa kuhara, bali alikuwa amelawitiwa.

Muuguzi wa hospitali hiyo ambaye hakupenda jina lake litajwe, alisema walimpokea mtoto huyo kwa maelezo kuwa anaharisha. Lakini walipoona tatizo lake ni kubwa, waliwasiliana na daktari wa magonjwa ya watoto, Dk Omar Maiza ili kumfanyia uchunguzi zaidi.

Alisema baada ya daktari huyo kumchunguza kwa mara ya kwanza, ilionekana kuwa mtoto huyo alikuwa amelawitiwa zaidi ya mara moja. “Ilitushtua kuona mtoto akiingiziwa vidole sehemu ya haja kubwa na vikiingia bila shida. Huu ni ukatili mkubwa kwa watoto,” alibainisha muuguzi huyo.
Dk Maiza alithibitisha kuwepo kwa tukio hilo hospitalini kwake, lakini akasema taarifa zaidi atazitoa leo.
Mama wa mtoto huyo alifariki dunia mwezi mmoja tu baada ya kujifungua watoto pacha.

Hata hivyo, pacha mmoja wa kiume naye alifariki muda mfupi baadaye kwa maradhi kama hayo ya kuharisha.
Baada ya mama wa pacha hao kufariki, ilibidi baba wa watoto hao kutafuta mfanyakazi wa kushinda nao wakati yeye akiwa kazini.

Akizungumza na Mwandishi jana, mlezi wa mtoto aliyefanyiwa ukatili huo, Saada Ismail alisema waliamua kumpeleka mtoto huyo hospitali baada ya kuona anaharisha kuliko kawaida.
Alisema siku zilizopita alikuwa vizuri na yeye ndiye aliyekuwa akimbadilisha nguo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Mary Nzuki alisema hakuwa na taarifa za tukio hilo.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top