
HI ADMIN...Kuna Kaka mmoja niliachana nae long time sana ..ni mpenzi wangu wa kwanza.nilikuwa kweli nampenda saaaana .nilimuheshimu nilimthamini ila ndo hivo haikuwa riziki.since nimeachana nae ni miaka almost sita sasa.
mara ya mwisho kabisa kuwasiliana ile kishkaji ni 2011 alipooa.since then nilimtoa kwenye kichwa changu kabisaaa,,no calls ,no sms ..no mail to me ni kama hata hayupo duniani.
honestly mimi sio mtu wa kuamini ndoto saana ..mimi nikiota nimeota!
nina kama wiki mbili sasa kila siku namuota huyu mbuzi ..kila siku namuona kwenye ndoto zangu.basio nikamwambia dada mmoja wa maombi .akaniambia ina maana kwamba nitapata au kama nina mpenzi mwingine yatanikuta yaleyale ya huyo jamaa wa mwanzoni.
sasa nikikumbuka yule jamaa...mistreatment..dissapointment na kibuti mmmh!
sijui ni kweli sijui lakini ...ila nimemuachia tu Mungu lakini...nawaogopa wanaume kama hiv sasa!
Nini Maana ya hizi Ndoto..?
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >