
Taarifa ikufikikie mtu wangu kuhusu mtoto wa mcheza mieleka maarufu wa Mexico aitaye Hijo del Perro Aguayo ambaye amepoteza maisha wakati alipodondoka jukwani akiwa katikati ya mchezo ikiwa ni saa chache baada ya kukimbizwa hospitali.
Mwanamieleka huyo alikuwa akipigana na mwezake Rey Mysterio
katika pambano lililofanyika ijumaa usiku na mara baada ya kudondoka
alikimbizwa hospitali lakini madaktari walithibitisha kuwa tayari
amefariki.
Wakati akiwa
amedondoka chini wenzake hawakujua kiasi gani ameumia na kuendelea na
mchezo na baada ya dakika zipatazo mbili waligundua kuwa amezidiwa hivyo
kumuwahisha hospitali.
Hapa kuna video ikionyesha wakati pambano hilo linafanyika hadi mwana mieleka huyo alipopoteza fahamu akiwa ulingoni.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >