
Hii imetokea huko Marekani baada ya mama
mmoja kunusurika kifo mara mbili baada ya mtoto wake kumwekea sumu ya
kuondoa madoa kwenye kinywaji chake kisa kikiwa ni baada ya
kumnyang’anya simu yake aina ya Iphone.
Mtoto huyu mwenye miaka 12 katika jimbo la Colorado Marekani amefunguliwa mashtaka ya kuua na amekiri kuwa alitaka kumuua mama yake ili kulipiza kisasi kwa sababu alichukua simu yake.
Mara ya kwanza mtoto huyo alimwekea mama
yake sumu aina ya Chlorine kwenye kinywaji na mama yake hakuweza
kubaini ingawa alisema alisikia harufu lakini alihisi glasi aliyotumia
haikuoshwa vizuri.
Mama yake aliwaambia maafisa wa polisi
kuwa alishangaa aliponusa harufu ya sabuni baada ya kunywa mchanganyiko
huo uliotayarishwa na mwanaye huyo.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >