Habari Kali
Loading...

VIDEO: HII NDIO SABABU ILIYOMFANYA MWANAMKE KUFANYA KAZI KWENYE CHUMBA CHA KUOSHEA MAITI

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
maiti kenyaKifo ni njia ya kila mmoja lakini watu wengi huogopa mtu aliekufa kutokana na hilo utakubaliana na mimi kuwa kunahitajika ujasiri wa aina yake kwa mtu kufanya kazi ambayo itamfanya kukutana na watu waliokufa kila siku.
Mwanamke mmoja nchini Kenya Magreth Wanjiru ambae ni mhudumu kwenye chumba cha kuhifadhia maiti katika Hospitali ya Nyeri ameonekana kuwa mwanamke mwenye ujasiri wa hali ya juu, kutokana na kufanyakazi ya kusafisha maiti na kuziweka dawa kazi ambayo anaifanya kwa muda wa miaka miwili.
Magreti amesema kuwa aliamua kujifunza kazi hiyo baada ya mama yake kufariki, ujasiri alioupata  kutokana na safari nyingi za kufika Hospitali  kumuona mama yake aliyeugua kwa muda mrefu na kumfanya asiwe na uwoga wa watu waliokufa.
Hata hivyo amepinga dhana kuwa mtu anaefanya kazi hiyo lazima awe anatumia kilevi au dawa za kulevya kazi inayoaminika kuwa inafanywa na wanaume pekee.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top