Habari Kali
Loading...

DADA YAKE DIAMOND AFUNGUKA MAZITO JINSI TEAM WEMA SEPETU WANAVYOMNYANYASA MTANDAONI..MSIKIE AKILALALMIKA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Esma mdogo wa Diamond Platnumz, aliyevunja ukimya, asubuhi ya leo juu ya kufuatwa fuatwa na watu wanaodaiwa kuwa ni wa marafiki wa Wema Sepetu #teamWema, ambao wamekuwa wakitukana na kumtaka asimsaidie kaka yake juu ya shughuli zake za muziki. Na Andrew Chale wa Modewji blog Kuna misemo mingi juu ya mawifi wengi ‘wanagugu’ hasa wa ndugu wa mme, hilo ndilo lililomkuta dada wa mwanamuziki nyota nayefanya vizuri Bongo nan je ya Bongo, Nasib Abdul ‘Diamond Platnumz’ ajulikanaye kwa jina la Esma maalufu kama ‘Esma Platnumz’ ameamua kufunguka kufuatia kusemwa semwa sana na jamaa wa mmewe, ambao ni kutoka #teamWema. Esma ambaye ameolewa na Meneja wa msanii Mirror na mfanyakazi wa kampuni ya Wema Sepetu, Endless Fame Films aitwaye Petit Man, ambapo kupitia ukurasa wake wa kijamii wa Instagram, mapema asubuhi ya leo aliamua kufunguka juu ya wanaomfuatafuata kwa kile anachokiposti hasa kinachohusiana na ‘issue’ za Diamond Platnumz ikiwemo shoo yao ya Mei Mosi mwaka huu, Mlimani City, Jijini Dar es Salaam. Wema Sepetu na mdogo wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’ ambaye ni mke wa Petit Man, Esma Khan, wakifurahia jambo hivi karibuni. Katika kurasa wake huo wa Instagram, Esma aliandika: “Naomba nieleweke mi hivi kwanini mnapenda kukuza mambooo… na kwanini mnapenda kunipangia vitu vya kupost ktk simu yangu mwenyewe alafu kabla hamjaongea fikilieni mara mbilimbili mnachoongea sio mnakurupuka mnatukana watu bila sababu. So mlitaka nipost niwaambie watu wasiende #mlimanicity wat…? nitakuwa mwanga bac mkataaa kwao mtumwa kitu kinachomuhusu naseeb nitapost mwanzo mwisho sasa nyinyi kwa akili zenu zilizokuwa fupi mlizani nikiwa na Petty ndio naweza ikataa familia yangu niingie familia nyingine haitotokea sina akili za kushikiwa kiasi hicho.. tukaneni mnavyojiskia na mnaotaka kujua kama siko na Petty soon mtajua kama niko nae au siko nae… nimemaliza haya chambeni mtanikuta leba alimalizia Esma katika ukurasa wake huo wa Instagram. Petit Man akiwa na mkewe, Esma wakati wa siku ya ndoa yao. Hata hivyo katika post hiyo aliyotupia, Mwanamuziki Diamond Platnumz kaka wa Esma, alikuwa wa kwanza kuchangia kwa kuandika “Dada’ huku akimtakia salamu ya asubuhi. Hata hivyo kwa kujibu huko kwa Diamond, immehonyesha kuwa ameguswa na manyanyaso na maaneno anayosakamwa kwa dada yake, kwani kwa uzoefu wa Diamond, hajawahi hata siku moja kuchangia post za jamaa wake wa karibu, lakini kwa hilo la kusemwa dada yake kwa ajili yake, lilimuumiza kiasi cha kujitokeza waziwazi kwa lengo la kumsapoti dada yake. Diamond Platnumz kaka wa Esma akiwa, kwenye picha ya ‘promo’ ya shoo yao ya Mei Mosi mwaka huu katika ukumbi wa Mlimani City. Diamond ndio chanzo cha dada yake kusakamwa na jamaa wa mmewe, Petiti Man. Esma mweye marafiki lukuki kwenye akaunti yake hiyo ya Instagram, wanaofikia 205K (followers), huku akiwa amewa fuata marafiki 313 (Following), kwenye akaunti yake hiyo hadi sasa amesha tupia ‘posts’ 480, tokea ajiunge. Hata hivyo, ujumbe wake huo aliofunguka juu ya jamaa wa mmewe kutoka #teamWema, watu 553, wamesha changia (Comments) na LIKES zaidi ya 3,155, huku wengi wakienda mbali na kumtajaj Wema Sepetu kuwa ndio ‘mchawi’ anayesuka mambo yote hayo. Petit Man shemeji wa Diamond ambaye mkewe Esma ameibuka na kufunguka juu ya #teamWema kumshambulia kwa maneno juu ya yeye kumsapoti kaka yake pamoja na mpenzi wake wa sasa, Zari the Boss Lady. Wema Sepetu Exclusive hii itaendelea baadae tutakapo kuletea upande wa Wema na Petiti kwani tayari baadhi ya #teamDiamond wamefunguka kuwa, Petit anatembeana Wema na kwa sasa wapo kwenye mahusiano mazito kiasi cha kuhatarisha ndoa yake na mkewe huyo Esma dada wa Diamond, ambapo imebainika kuwa Wema anataka kumuumiza Diamond kwa upande huo.  
Petit Man akiwa na Boss wake Wema Sepetu

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top