Dustan Shekidele, Morogoro LA
haula! Mwanamke aliyefahamika kwa jina moja la Asha, mkazi wa Mtaa wa
Area Six, Kata ya Kichangani mkoani hapa ambaye alikuwa kwenye swaumu
ya Mfungo wa...
Loading...
ACHAKAZWA SURA NA MKE MWENZIYE

Na Stephano Mango, Ruvuma
“Dunia imeharibika na binadamu hawana upendo wamegeuka kuwa na tabia
kama za wanyama kila kukicha…” hiyo ni kauli yake Rehema Gwaya (41)
mkazi wa Barabara ya Sokoine,...
Label:
MATUKIO
MAHABUSU ADAIWA KUFIA KITUO CHA POLISI!

Na Shani Ramadhani MSIBA!
Mwanaume aliyefahamika kwa jina la Juma Abdallah Juma (51), mkazi wa
Bunju ‘B’ jijini Dar anadaiwa kufia kwenye Kituo cha Polisi Oysterbay,
Dar huku ndugu...
Label:
MATUKIO
UKATILI WA KUTISHA! MTOTO MIAKA 5 ATEKWA DAR, ABAKWA HADI KUFA

Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
NIkweli dunia imekwisha! Ni vigumu kuamini mtoto mdogo ambaye anahitaji
uangalizi na ulinzi kutoka kwa jamii anageuzwa mwanamke na kuingiliwa
kwa nguvu...
Label:
MATUKIO
MAITI YAKOHOA, YAFUMBUA MACHO

Maajabu
ya Bagamoyo! Katika hali ya kushtua, familia yenye makazi yake,
Magomeni, Bagamoyo mkoani Pwani, imejikuta kwenye mauzauza baada ya
ndugu yao kufariki dunia huku akidaiwa kukohoa, kufumbua macho na
kuonesha dalili za kuwa hai, pamoja na...
Label:
MATUKIO
Thursday, July 2, 2015
AJALI YA BASI NA TRENI YAUA 5 NA KUJERUHI 24 WILAYANI KILOSA

Maofisa wa usalama barabarani wakichukua taarifa eneo la ajali.
Coaster baada ya kuigonga treni.
Wananchi wakishuhudia ajali hiyo.
WATU watano wamepoteza maisha huku 24
wakijeruhiwa baada ya basi la abiria...
Label:
AJALI
WASTARA: NAMPA BOND NAFASI YA KUNIOA!

WASTARA Juma Issa Abeid amekiri
kuzidiwa na hisia za kuwa na mwenza kutokana na ukweli kwamba damu yake
bado changa, hivyo suala la kuolewa halikwepeki huku akimpa nafasi kubwa
msanii mwenzake, Bond Bin Sinan endapo atakidhi vigezo na masharti.
Wastara...
Label:
WASANII
ESTER AZIDI KUTESWA NA TUMBO LA BIA!
KUNENEPEANA! Kuvimbiana na kuongezeka kwa ukubwa wa
tumbo kunazidi kumpa wakati mgumu msanii ‘anayechungulia’ katika gemu la
uigizaji, Ester Kiama kufuatia kusongwa na madai kuwa ‘amebugia kijusi’
(mjamzito) huku Kulwa Kikumba ‘Dude’ akidaiwa kuwa...
Label:
WASANII
BAADA YA KUACHANA NA MUMEWE, ROSE NDAUKA APEWA ONYO NA FAMILIA!

Staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka.
STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka hivi karibuni amewekwa chini na familia yake na kupewa onyo kuhusu wanaume pamoja na maadili.
Kwa mujibu wa chanzo, Rose aliambiwa
maneno mengi na familia yake ikimtaka ajirekebishe...
Label:
WASANII
BAADA YA MSANII WOLPER KUKIRI YEYE NI FREEMASON, WENYEWE FREEMASON WAMJIA JUU!

KATIKA toleo lililopita la
gazeti hili, ukurasa wake wa pili kulikuwa na habari yenye kichwa;
Wolper: Mimi ni Freemason kwa muda mrefu sasa.
Sasa, baada ya habari ile kutoka, kuna
madai kwamba, wenyewe Freemason wameingiwa na wasiwasi juu ya kauli...
Label:
WASANII
HUYU NDIYE MSANII WA BONGO ALIYEKIRI KUTESWA NA MAPENZI KWA SABABU YA UNENE WAKE!
Mtangazaji wa ITV / Radio One, Farhia Middle.
MTANGAZAJI wa
ITV / Radio One, Farhia Middle amesema tangu aujue ulimwengu wa mapenzi
hajawahi kukutana na mwanaume mwaminifu na kwamba kila mara amekuwa
akilizwa na mapenzi jambo ambalo husababisha...
Label:
WASANII
PICHA ZA ZISIZO NA MAADILI ZA MREMBO HUYU ZAMUUA BABA YAKE!

Loredana
Chivu ni mwanamitindo nchini RomaniaBaba mmoja amejiua baada ya kuona
picha za uchi zamwanawe wa kike katika jarida la Playboy nchini Romania.
Loredana
Chivu alirarua ukurasa uliokuwa na picha yake akiwa 'amepos' katika
jarida...
Label:
WASANII
Wednesday, July 1, 2015
UJAUZITO UMENIVURUGA SHEPU YANGU, TIWA SAVAGE

Mwanamuziki wa Nigeria, Tiwa Savage.
Lagos Nigeria
MWANAMUZIKI Tiwa Savage wa Nigeria amelalamika kwamba ujauzito alio nao hivi sasa umevuruga shepu yake hasa kutokana tumbo kujitokeza.
Tiwa Savage akiwa...
Label:
WASANII
MWALIMU SEKONDARI AKAMATWA NA ‘UNGA’

Na Makongoro Oging’Mwalimu
wa shule moja ya sekondari mkoani Singida (jina la shule
linahifadhiwa), Charles Andrew (46) amekamatwa na Kikosi Kazi cha
Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya nchini (task force) katika
Uwanja wa Ndege wa Mwalimu...
Label:
MATUKIO
INASIKITISHA SANA..!! DENTI KIDATO CHA KWANZA AFIA BWAWANI!

Na Kulwa Mwaibale MSIBA!
Mohamed Juma (14) ambaye alikuwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza, Shule
ya Sekondari ya Toangoma wilayani Temeke, Dar amefia bwawani wakati
akiogelea. Tukio hilo lililoacha majonzi kwa ndugu, jamaa, marafiki na wanafunzi...
Label:
MATUKIO
INASIKITISHA: FAMILIA YATUPIWA YATUPIWA VYOMBO NJE!

Shani Ramadhani na Mayasa MariwataUSIOMBE
yakukute! Beatrice Nyato au mama Prisca, mkazi wa Kurasini, Dar,
anapika, anapakua na kulala nje ya nyumba yake baada ya kutupiwa vyombo
nje na mtu...
Label:
MATUKIO
MTOTO WA WAZIRI ATUHUMIWA KWA KUUA!

Deogratius Mongela na Chande Abdallah INASIKITISHA!
Mmiliki wa Shule ya Msingi na Awali (International) ya Mount Zion
iliyopo Bahari Beach, Dar, Annah Mizighi Mwambili, 47, (pichani) ameuawa
na mwili wake kutupwa ndani ya shule yake baada ya kupotea...
Label:
MATUKIO