Habari Kali
Loading...

FUTARI YAZUA BALAA! APEWA KIPIGO CHA MBWA MWIZI BAADA YA KUIBA KITI

Dustan Shekidele, Morogoro LA haula! Mwanamke aliyefahamika kwa jina moja la Asha, mkazi wa Mtaa wa Area Six, Kata ya Kichangani mkoani  hapa ambaye alikuwa kwenye swaumu ya Mfungo wa...

ACHAKAZWA SURA NA MKE MWENZIYE

Na Stephano Mango, Ruvuma “Dunia imeharibika na binadamu hawana upendo wamegeuka kuwa na tabia kama za wanyama kila kukicha…” hiyo ni kauli yake Rehema Gwaya (41) mkazi wa Barabara ya Sokoine,...

MAHABUSU ADAIWA KUFIA KITUO CHA POLISI!

Na Shani Ramadhani MSIBA! Mwanaume aliyefahamika kwa jina la Juma Abdallah Juma (51), mkazi wa Bunju ‘B’ jijini  Dar anadaiwa kufia kwenye Kituo cha Polisi Oysterbay, Dar huku ndugu...

UKATILI WA KUTISHA! MTOTO MIAKA 5 ATEKWA DAR, ABAKWA HADI KUFA

Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa NIkweli dunia imekwisha! Ni vigumu kuamini mtoto mdogo ambaye anahitaji uangalizi na ulinzi kutoka kwa jamii anageuzwa mwanamke na kuingiliwa kwa nguvu...

MAITI YAKOHOA, YAFUMBUA MACHO

Maajabu ya Bagamoyo! Katika hali ya kushtua, familia yenye makazi yake, Magomeni, Bagamoyo mkoani Pwani, imejikuta kwenye mauzauza baada ya ndugu yao kufariki dunia huku akidaiwa kukohoa, kufumbua macho na kuonesha dalili za kuwa hai, pamoja na...

AJALI YA BASI NA TRENI YAUA 5 NA KUJERUHI 24 WILAYANI KILOSA

Maofisa wa usalama barabarani wakichukua taarifa eneo la ajali. Coaster baada ya kuigonga treni. Wananchi wakishuhudia ajali hiyo. WATU watano wamepoteza maisha huku 24 wakijeruhiwa baada ya basi la abiria...

WASTARA: NAMPA BOND NAFASI YA KUNIOA!

WASTARA Juma Issa Abeid amekiri kuzidiwa na hisia za kuwa na mwenza kutokana na ukweli kwamba damu yake bado changa, hivyo suala la kuolewa halikwepeki huku akimpa nafasi kubwa msanii mwenzake, Bond Bin Sinan endapo atakidhi vigezo na masharti. Wastara...

ESTER AZIDI KUTESWA NA TUMBO LA BIA!

KUNENEPEANA! Kuvimbiana na kuongezeka kwa ukubwa wa tumbo kunazidi kumpa wakati mgumu msanii ‘anayechungulia’ katika gemu la uigizaji, Ester Kiama kufuatia kusongwa na madai kuwa ‘amebugia kijusi’ (mjamzito) huku Kulwa Kikumba ‘Dude’ akidaiwa kuwa...

BAADA YA KUACHANA NA MUMEWE, ROSE NDAUKA APEWA ONYO NA FAMILIA!

Staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka. STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka hivi karibuni amewekwa chini na familia yake na kupewa onyo kuhusu wanaume pamoja na maadili. Kwa mujibu wa chanzo, Rose aliambiwa maneno mengi na familia yake ikimtaka ajirekebishe...

BAADA YA MSANII WOLPER KUKIRI YEYE NI FREEMASON, WENYEWE FREEMASON WAMJIA JUU!

KATIKA toleo lililopita la gazeti hili, ukurasa wake wa pili kulikuwa na habari yenye kichwa; Wolper: Mimi ni Freemason kwa muda mrefu sasa. Sasa, baada ya habari ile kutoka, kuna madai kwamba, wenyewe Freemason wameingiwa na wasiwasi juu ya kauli...

HUYU NDIYE MSANII WA BONGO ALIYEKIRI KUTESWA NA MAPENZI KWA SABABU YA UNENE WAKE!

Mtangazaji wa ITV / Radio One, Farhia Middle. MTANGAZAJI wa ITV / Radio One, Farhia Middle amesema tangu aujue ulimwengu wa mapenzi hajawahi kukutana na mwanaume mwaminifu na kwamba kila mara amekuwa akilizwa na mapenzi jambo ambalo husababisha...

PICHA ZA ZISIZO NA MAADILI ZA MREMBO HUYU ZAMUUA BABA YAKE!

Loredana Chivu ni mwanamitindo nchini RomaniaBaba mmoja amejiua baada ya kuona picha za uchi zamwanawe wa kike katika jarida la Playboy nchini Romania. Loredana Chivu alirarua ukurasa uliokuwa na picha yake akiwa 'amepos' katika jarida...

MJUE MODEL MKALI MWENYE FOLLOWERS WENGI SANA HUKO INSTA

Anaitwa Kathy...kutoka CUBA ...

HIVI DADA ZETU MNAPOPIGA PICHA KAMA HIZI MNAKUA MNATAKA NINI??!! WATAZAME HAWA

    ...

UJAUZITO UMENIVURUGA SHEPU YANGU, TIWA SAVAGE

Mwanamuziki wa Nigeria,  Tiwa Savage. Lagos Nigeria MWANAMUZIKI Tiwa Savage wa Nigeria amelalamika kwamba ujauzito alio nao hivi sasa umevuruga shepu yake hasa kutokana tumbo kujitokeza. Tiwa Savage akiwa...

MWALIMU SEKONDARI AKAMATWA NA ‘UNGA’

Na Makongoro Oging’Mwalimu wa shule moja ya sekondari mkoani Singida (jina la shule linahifadhiwa), Charles Andrew (46) amekamatwa na Kikosi Kazi cha Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya nchini (task force) katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu...

INASIKITISHA SANA..!! DENTI KIDATO CHA KWANZA AFIA BWAWANI!

Na Kulwa Mwaibale MSIBA! Mohamed Juma (14) ambaye alikuwa mwanafunzi wa kidato cha kwanza, Shule ya Sekondari ya Toangoma wilayani Temeke, Dar amefia bwawani wakati akiogelea. Tukio hilo lililoacha majonzi kwa ndugu, jamaa, marafiki na wanafunzi...

INASIKITISHA: FAMILIA YATUPIWA YATUPIWA VYOMBO NJE!

Shani Ramadhani na Mayasa MariwataUSIOMBE yakukute! Beatrice Nyato au mama Prisca, mkazi wa Kurasini, Dar, anapika, anapakua na kulala nje ya nyumba yake baada ya kutupiwa vyombo nje na mtu...

MTOTO WA WAZIRI ATUHUMIWA KWA KUUA!

Deogratius Mongela na Chande Abdallah INASIKITISHA! Mmiliki wa Shule ya Msingi na Awali (International) ya Mount Zion iliyopo Bahari Beach, Dar, Annah Mizighi Mwambili, 47, (pichani) ameuawa na mwili wake kutupwa ndani ya shule yake baada ya kupotea...
Older Posts
© Copyright 2025 ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top