Mtangazaji wa TV show ya Mkasi Salama Jabir na msanii mkongwe bongoflevani Solo Thang ni miongoni mwa waliozipaza sauti zao June 30 2015.
Kupitia kwenye ukurasa wa twitter Salama Jabir aliandika ‘Wabongo
tumekua wakosoaji mpaka wasanii wanajishtukia, hakuna “zuri kabisa”
kwenye macho yetu… tuwaache wasanii wawe “Wasanii” nadhani!









