Habari Kali
Loading...

SHILOLE NA MADEE NI KAMA JAY Z NA BEYONCE, SOMA HAPA HABARI KAMILI

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Msanii wa Kizazi kipya unaweza muita mzee wa Pombe yangu kwa jina anatambulika Rais wa Manzese Madee Ndani ya Safari Radio Mtwara akizungumzia show yake ya Siku ya Leo hii katika Ukumbi wa Makonde Rayal Night Club akisindikizwa na Msanii wa Kike kwa jina Shilole a.k.a Beyonce Pamoja na Raymond msanii anayechipukia katika Tasnia hii ya muziki wa kizazi Kipya.Shilole akifanya mahojiano leo hii wakati wa Kipindi cha Safari Explosion kinachorushwa hewani Kuanzia majira ya saa Saba za Mchana hadi saa Tisa za Jioni Kupitia Safari Radio mjini Mtwara. Shilole amezungumzia show yake hiyo na kusema itakuwa yanguvu kama ilivyo ada yake hivyo wadau na wapenzi wake wafike na wasiwe na wasi wasi kwani amejiandaa vya kutosha Kukonga Nyoyo za Mashabiki wa Mtwara.Katika Interview hiyo Shilole aliweza kufunguka kuwa yeye na Madee ni kama Jay Z na Beyonce hivyo wapenzi na mashabiki waje kwa wingi waje kushuhudia show ya Nguvu kabisa kutoka kwao. si unajua jinsi walivyo Jay z na Beyonce? so usiulize nini Kinazungumziwa hapa…..Raymond msanii atakaye wasindikiza Shilole na Madee katika Show ya Leo pale Makonde Royal Night Club akiwa na Dj msababishaji wa Show ya leo wa Madee.

Kwa kiingilio cha Buku 7 tu unakuja kuona show ya Kijanja na yenye Uzani wa Hali ya Juu kutoka kwa Rais wa Manzese akiwa na Mtoto Shilole a.k.a Beyonce Viuno kama kawa na Squard yake amekamilika kulivamia jukwaa vilivyo leo hii….
 

hakika hii si ya kukosa

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top