Habari Kali
Loading...

Baada ya mgogoro wa muda mrefu, Hatimaye Mahakama yaruhusu ushoga Uganda.

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
MAHAKAMA ya Kikatiba nchini Uganda imefutilia mbali sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja, ambayo ilisababisha mataifa kadhaa ya magharibi kuinyima misaada.
Sheria hiyo ilizua mjadala si tu nchini Uganda bali kote duniani, kiasi cha kuyafanya mataifa ya magharibi yalazimike kuingilia kati.
Mahakama ilisema muswada uliopitishwa kabla ya kuidhinishwa na rais kuwa sheria ulipitishwa na wabunge ambao idadi yao haikutosha kuupitisha na kwa hivyo ulikuwa kinyume na sheria.
Vitendo vya mapenzi ya jinsia moja tayari vilikuwa vimeharamishwa nchini Uganda, lakini sheria hiyo mpya ilitoa adhabu kali zaidi.
Sheria hiyo iliharamisha hatua zozote za kueneza au kushawishi mapenzi ya jinsia moja na wakati huo huo ikiwajumuisha wanawake wasagaji katika kundi hilo.
Sheria hiyo iliyosainiwa na Rais Yoweri Museveni, Februari mwaka huu pamoja na mambo mengine inatoa adhabu ya kifungo cha maisha na inawataka Waganda kuripoti matukio ya kishoga au kisagaji kwa mamlaka husika.
Wabunge huenda wakalirudisha upya bungeni suala hilo, mchakato unaotarajia kuwa mrefu ukizingatia sheria ya sasa ilichukua miaka minne hadi kupitishwa.
Lakini wanaharakati wa haki za binadamu walikuwa wakisherehekea jana.
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni
“Mimi si mhalifu tena, leo tumeandika historia kwa vizazi vingi vijavyo,” alisema Kasha Jacqueline, mmoja wa wanaharakati maarufu wa haki za mashoga waliofungua kesi hiyo.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry, alikuwa ameihusisha sheria hiyo na sheria za kifashisti za utawala dhalimu wa Nazi nchini Ujerumani.
Wakosoaji pia walidai Museveni aliisaini sheria ili kupata uungwaji mkono wakati wa kuelekea uchaguzi wa urais mwaka 2016, ambao utakuwa mwaka wake wa 30 madarakani.
chanzo: mtanzania

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top