Habari Kali
Loading...

MTUHUMIWA KESI YA SWISSPORT ALALAMIKIA UNYAMA WA POLISI …ADAI KUINGIZWA CHUPA SEHEMU ZA HAJA KUBWA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Kesi ya wizi wa simu inayowakabili
wafanyakazi sita wa Kampuni ya Kupakia
na Kupakua mizigo ya Swissport,
imechukua sura mpya baada ya
mshitakiwa Hashim Idd (49) kudai
amefanyiwa vitendo vya unyama
alipokuwa anachukuliwa maelezo na
Polisi.
Hata hivyo, Mahakama ya Wilaya ya Ilala
imepokea kama kielelezo maelezo ya onyo
ya mshtakiwa huyo baada ya kukataa
maelezo yaliyotolewa mahakamani hapo
kama kielelezo, kwa madai kuwa
alilazimishwa kusaini maelezo ambayo
hakuyatoa polisi wakati akihojiwa.
Mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi
Hassan Juma, Idd alidai mbali na
kulazimishwa kusaini maelezo hayo
aliingiziwa chupa sehemu ya haja kubwa
na askari polisi walikuwepo katika
chumba ambacho alikuwa akichukuliwa
maelezo katika kituo cha polisi cha
Uwanja wa ndege ili aweze kukubali
mashitaka hayo ya wizi.
Hata hivyo, mahakama hiyo iliyakataa
maelezo hayo kwa madai kuwa ni
maelezo ya kutunga na hayana ushahidi.
Katika kesi hiyo, shahidi Phraim alidai
kuwa siku ya tukio, Januari 31 mwaka
huu alipewa taarifa za kesi ya wizi wa
simu kutoka kwa mkuu wa upelelezi wa
kituo hicho. Alidai wizi huo ulitokea Januari 27 mwaka
huu, saa 7:10 mchana  ambapo boksi moja
lenye simu 460 aina ya Tecno na Itel
liliibwa kutoka katika ndege ya Qatar
Airways iliyokuwa ikitoka nchini China.
Washitakiwa hao ni Hamada Mohammed
(42), Haji Waziri (26), Yusuph Muhangwa
(33), Hashimu Idd (49), Ally Omary (33) na
Hamisi Othuman (29) ambao
walituhumiwa kuiba simu zenye thamani
ya Sh milioni 19.4 mali ya Chemchem.
Washitakiwa wapo nje kwa dhamana.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top