Habari Kali
Loading...

MPENZI WA SHILOLE..NUH MZIWANDA AKATALIWA UKWENI

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

OHOOO! Mchumba wa staa wa Mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shishi Baby’, Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukataliwa ‘ukweni’ kwao, Tabora.
Mchumba wa staa wa Mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shishi Baby’, Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’.
Tukio hilo lilijiri ndani ya Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi mjini hapa wakati wawili hao walipokuwa wakipafomu kwenye tamasha la Serengeti Fiesta ndipo mashabiki waliposema hawamkubali Nuh na badala yake aolewe na DJ Zirro.
Wakati shoo ya wawili hao ikiendelea, Shilole alikatisha muziki kwa muda na kuwaambia mashabiki kupitia kipaza sauti wamwambie kama Nuh Mziwanda ana vigezo vya kuwa mumewe ndipo wakasema hapana na kumpendekeza DJ Zirro ambaye alikuwa akipiga muziki kwenye shoo hiyo.
Staa wa Mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shishi Baby’, akiwa na mpenzi wake Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’.
“Hatumtaki Nuh Mziwanda awe shemeji yetu, bora uolewe na DJ Zirro. Sisi ndiyo tumeamua hivyo,” alisikika mmoja wa mashabiki waliokuwa wakifuatilia burudani hiyo.
Kitendo hicho cha mashabiki kumkataa Nuh Mziwanda kilimfanya bwa’mdogo huyo ambaye naye anaimba muziki wa Bongo Fleva kujikuta akiropoka na kusema:“Kama mnadhani sina hela basi naomba nitoe mahari hapahapa,” alisema Nuh huku akiwatupia mashabiki kiasi kidogo cha fedha.
Pamoja na kufanya hivyo, bado mashabiki waliendelea kumkataa Nuh Mziwanda hadi aliposhuka jukwaani ambapo alionekana kukwazwa na jambo hilo kwani tokea aliposhuka alikosa raha kabisa.
Paparazi wetu alimfuata Nuh Mziwanda alipokuwa ameketi baada ya kushuka jukwaani na kumuuliza amejisikiaje kukataliwa ukweni, akafunguka:
Staa wa Mduara Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shishi Baby’,
“Kusema kweli kuna muda nimejisikia vibaya ingawa hapohapo jukwaani nilijifikiria na kugundua kuwa ni gemu tu hivyo nimejifariji kwa kuona kama ni sehemu ya burudani tu,” alisema Nuh Mziwanda.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top