Habari Kali
Loading...

SABABU 5 ZA KWANINI NDOA YA DIAMOND NA WEMA ITADUMU KAMA WAKIOANA, SOMA HAPA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Naseeb Abdul aka Diamond Platnumz aka Dangote ni miongoni mwa wasanii wanaofanya vizuri katika music industry ndani na nje ya Tzee, yote ni kujituma kwake kwa kutoa hit songs za nguvu kama ‘Moyo Wangu’, ‘Ukimuona’, ‘Mbagala’, ‘Number One’ and so many songz zimempelekea kufika hapo halipo, mapenzi ya Dangote na Wema Sepetu aka Madam Wema yalianza pale jina la Diamond lilipoanza ku-make headline kwenye media kutokana na ngoma zake nyingi kukubalika, since that day mapenzi yao yalishamili kwa kasi sana ingawa walikuwa wana mvutano wa kutoaminiana na kusababisha Diamond Platnumz kuachana na Wema Sepetu na kumchukua Peniel Mungilwa aka Penny, but they could not last long mapenzi yakarudi tena kwa Wema Sepetu yote kutokana na Diamond kumuona Madam Wema ni msaada kwake, na kuna tetesi kuwa Wema Sepetu ananyota kali sana ya mafanikio kiasi cha kumfanya Dangote kuona umuhimu wa kufunga ndoa, na hivi ndivyo vitu vitano vinavyofanya ndoa ya Diamond Platnumz na Wema Sepetu kudumu kwa muda mrefu kama ndoa hiyo ikitokea.
Kutosikiliza maneno ya watu
tumeona ndoa nyingi sana za mastaa zinavunjika not only Tzee even abroad mfano kwa Bob Junior na Halima, Ezden na Dida yote ni kusikiliza sana maneno ya watu kuliko hisia zao wenyewe.
Diamond-Platnumz-59
Kusaidiana
Tukiangalia kwa Jay Z na Beyonce wanasaidiana sana kwenye kazi yao ili wazidi kuendelea ku-make mkwanja, so kwa Dangote na Wema wakiwa wanasaidiana watadumu na kufika mbali sana katika ndoa yao.
Super-couples-jay-z-beyonce-Diamond-Platnumz-Wema-Sepetu
Elimu
ukweli utabaki kuwa kweli Diamond Platnumz hana elimu ya kutosha kumzidi Wema Sepetu ila  ana mkwanja than Wema kitu kinachowafanya wazidi kujifunza kutoka kwa kila mmoja.
rp_diamond-wema.jpg
Kutambuana kitabia
kitu kitakachowafanya wazidi kudumu kwenye ndoa yao kila mmoja kumtambua mwenza wake coz wameshaumizana sana, kujivuna kwa sana na sasa watakua wanajua ni kitu gani wanapaswa wasifanye ili kutoumizana.
Diamond-Platnumz-62
Wote ni mastaa
Hii itawasaidia sana katika kuendeleza mshikamano wao katika ndoa kwa kujilinda kutokana na hadhi waliyonayo right now.
Wema-Sepetu-Diamond-Platnumz-Sasa-copyright-www-vibe-co-tz

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top