Wanasema wawili hawa kuna uwezekano wako kwenye ile time ya kuonyeshana/kuringishiana au kutaka kuumizana kwamba pamoja na kwamba hauko na mimi, mimi niko na huyu sasa hivi.
Ni kwamba rapper Wiz Khalifa na Amber Rose waliokua wanandoa wameachana hivi karibuni baada ya kukaa kwenye ndoa ya miezi 14 wakati ambapo mtoto wao Sebastian ana miezi 20 tu.
Unaambiwa Wiz Khalifa alionekana akila good times na huyu mrembo aitwae Sara Dajstani ambae ni model na inasemekana kwamba ndio mpenzi wake mpya baada ya kumwagana na Amber.
Wawili hawa walionekana pamoja kwenye ‘bata’ huko Hollywood Marekani Jumanne ya wiki hii ambapo japo hawakukamatwa na camera wakiwa kwenye picha ya pamoja, walikuwepo pamoja ndani na hata kuondoka waliondoka pamoja.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >