Habari Kali
Loading...

HII NDIO KAHAWA AMBAYO UKINYWA TU INAKUPA HAMU YA KUFANYA MAPENZI

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
 Ama kwa hakika duniani kuna mambo! wachuuzi wa kahawa yenye vijimambo ndani yake,ambayo ukiinywa tu basi inakupa mzuka wa kufanya ngono kwa kiwango cha hali ya juu na biashara inawaendea vyema katika mitaa ya Harare nchini Zimbabwe.

Kahawa hiyo huuzwa kati ya dola za kimarekani 3 hadi 5 kwa kifuko kidogo kinachotosha kikombe kimoja cha chai, na bei hiyo itategemea jinsi wewe ulivyo mtaalamu wa kuomba punguzo la bei inaweza kushuka.
Wachuuzi hao wa mitaa ya Harare wamezungumza na kudai kuwa kahawa hiyo huwasaidia wanaume kupata hamu ya kufanya ngono kwa muda mrefu Zaidi,lakini pia humchelewesha mwanaume kupata mshindo kwa muujibu wa utafiti wao.
Pindi tu uinunuapo kahawa hiyo,wachuuzi hao hukupa maelekezo kuwa uinywe dakika 15 kabla ya tukio lenyewe na humpa nguvu mtumiaji ya kufanya ngono kwa saa sabini na mbili,ingawa madai hayo hayajathibitishwa kitabibu.

Wanaume wengi inaarifiwa wamechangamkia sana kahawa hio yenye vijimambo
Wachuuzi hao wameamua kufanya biashara yao katika mtindo wa aina yake,kwa kuiuza kahawa hiyo katika maeneo maarufu nchini Zimbabwe yenye mikusanyiko ya watu kama eneo la KwaMereki kwenye viunga vya bustani ya kitongoji cha Warren, Zindoga eneo lililoko kwenye maporomoko ya maji (Waterfalls) na eneo la vilima la KuHuku .
Kitu cha kuvutia biashara hiyo hufanywa na wachuuzi wa kike wafanyao kazi katika duka kubwa la

Fife Avenue Shopping centre wenye kutoa ushuhuda na kukubali kuwa waume zao waliitumia kahawa hiyo na wakayaona matokeo yake nao wakafaidi kwani uwezo wao uliongezeka maradufu.
Ingawa wanawake hao pamoja na kukubali na kutoa ushuhuda huo, bado hawako tayari kuelezea wapi wanakozinunua kahawa hizo za majamboz na kwa sasa mjini Harare mahitaji ya kahawa hiyo ni makubwa mno na ni rahisi kuitumia kwani unaweza kuitumia kwa maji moto ama baridi anaeleza muuzaji aliyejitaja kwa jina moja la Anna.
Anna anasema wateja wake wakubwa ni waume kwa wake ingawa wanawake wana aibu kuinunua kahawa hiyo hadharani kuliko wanaume wao hawana aibu pindi wanapotaka kahawa hiyo kwa matokeo mazuri ya kulinda heshima shughulini.
Kwa muujibu wa daktari mmoja nchini Zimbabwe aliyekataa kutajwa jina lake amesema kwamba tatizo la nguvu za kiume nchini Zimbabwe ni kubwa mno kwa wanaume walio wengi na linakua siku hadi siku na kusema ni tatizo kubwa.

CHANZO BBC

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top