Habari Kali
Loading...

JOHARI, CHUCHU HUU KAMA SIYO USHAMBA NI NINI?

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
NINAMFAHAMU Blandina Changula maarufu kama Johari, tokea akiwa underground wa maigizo katika kikundi cha Kaole, kabla hajapata jina linalomfanya kuwa mmoja wa wakongwe katika filamu Tanzania.
Wakati ule akichipukia, alikuwa mmoja kati ya chipukizi waliokuwa wanaonyesha wazi kwamba watakuja kuwa waigizaji wazuri. Anapatia sehemu nyingi katika sanaa, lakini utampenda zaidi Johari akiigiza sehemu inayohitaji majonzi, au mtu anayetaka kuhurumiwa.
Johari anaweza kutoa machozi wakati wowote akitaka. Anaweza kucheka kwa sauti na furaha dakika hii, lakini inayofuata akatoa machozi mengi hadi unashangaa. Napata wasiwasi ninapomuona akitoa machozi katika misiba, hujiuliza kama analia kweli kwa uchungu au ni mbwembwe tu za maigizo ili watu wajue ana uchungu!
Kama nilivyosema mwanzo, Johari ni mmoja kati ya waigizaji wasichana ninaowafahamu zaidi katika fani, pengine kuliko masistaduu wengi waliopata majina makubwa katika miaka ya hivi karibuni. Anajua kufanya kazi kwa kweli na ni lazima hawa waliomkuta, wampe heshima anayostahili kwa sababu anao mchango mkubwa sana katika game.
Ninafahamu kwamba Vicent Kigosi, wakati huo naye akianza kuogelea kwenye umaarufu wa filamu, alikuwa akitoka na dada huyu. Mara kadhaa nimewahi kuwakuta pamoja na kwa maana hiyo, hakuna mdau asiyetambua uhusiano wao.
Ni kutokana na uhusiano huo, ambao awali ulionekana kama wenye mwelekeo wa kuzaa ndoa, wawili hao walifungua kampuni yao, RJ, kila herufi ikiwakilisha mwanzo wa majina yao ya kisanii.
Lakini kama tunavyofahamu, wawili hawa walianza chokochoko katika uhusiano wao, baada ya kuwepo kwa taarifa za Ray kuchepuka na Chuchu Hans, binti mdogo aliyemkuta Johari katika fani. Mwanzo ilikuwa ni siri, lakini baadaye ikathibitika kuwa ni kweli kiasi kwamba hata Johari akakubali na kumwaga manyanga.
Sijui, labda kwa sababu ni wasichana, wawili hawa wamekuwa wakipigana vijembe kila wanapokaa pamoja au kukutana. Mara moja waliwahi kuripotiwa kupigana katika ofisi za RJ.
Wiki iliyopita, wawili hawa waliripotiwa kutukanana kwa mara nyingine na almanusura wazichape. Walikutana katika eneo ambalo Johari alikuwa ameweka kambi yake, Chuchu akiwa ameambatana na Ray.
Niseme wazi kuwa ingawa ni vigumu kuzungumzia hisia za watu kimapenzi, lakini kwa uzoefu wa wawili hawa, inaonekana kama wanaishi maisha flani yanayokwenda kinyume na ustaarabu wa kisasa.
Nianze na Chuchu. Mara zote ugomvi unapotokea, binti huyu huwa amemfuata Ray katika eneo analojua kabisa kuwa Johari atakuwepo, hivi kwa kutumia tu busara zake za kawaida, kwa nini huwa hajiepushi kusogelea? Kwa sababu anajua kuwa yeye alimpora mwenzake mtu wake.
Hivi anapokwenda ofisini kwa Ray kwa mfano, akijua kabisa Johari pia yupo, haoni kama anayakaribisha matatizo makusudi? Maana yake ni kuwa anakwenda pale akitamba kwamba hawezi kufanywa lolote!
Na Johari, kwa umri ulionao, huoni kama ni kujifedhehesha tu kumpigania mwanaume unayejua kabisa hana mapenzi nawe? Huhisi watu wanaweza kukuona ni mshamba wa mapenzi?
Binafsi, ninaamini kama ungekuwa huna habari nao, wao ndiyo wangejisikia vibaya na pengine wangekuwa wanajisikia aibu kuibuka sehemu ulipo kwa vile watasanifika.
Sasa wanapofikia sehemu wanapigana na kutukanana hadharani, sidhani kama kuna mshindi kati yao zaidi ya wastaarabu kuwaona kama watu wanaotafuta kiki, kama wenyewe wasanii wanavyosema.
Kwa majina na umaarufu walionao, walipaswa kuwa mfano. Kila siku watu wanadai wanawake ni dhaifu, lakini kwenye majukwaa wanakanusha sana ili hali katika uhalisia wanathibitisha. Kwetu sisi wanaume, tukishaamua kuachana na mwanamke, hatunaga bifu tena na mwanaume mwingine atakayekwenda kujitwisha mzigo!
Ushauri wangu kwa hawa wadogo zangu ni kujitambua, Johari kwamba enzi zake kwa Ray zilishamalizika na Chuchu kwamba kwa kuwa huyu ni wako, acha kumfuata mwenzio katika anga zake!

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top