Idadi ya watu waliokufa kufuatia ajali ya moto iliyotokana na kulipuka kwa tanki la mafuta la lori lililopinduka Mbagala Rangi Tatu, jijini Dar es Salaam imeongezeka hadi kufikia saba.
Aidha, hali za majeruhi tisa waliolazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) ni mbaya.
Idadi ya vifo imeongezeka baada ya majeruhi waliokuwa wamelazwa MNH wawili kufariki dunia usiku wa kuamkia jana.
Afisa habari Msaididizi wa MNH, Doris Ishenda, alithibitisha kufariki kwa watu hao Nurdin Mazinga (22) na Abas Hugangar, wakazi wa Mbagala.
“Usiku wa kuamkia Jumanne tulipokea majeruhi 15 kutoka Hospitali ya Temeke ambao kati yao sita wameshafariki dunia,” alisema na kuongeza kuwa miili yao imehifadhiwa hospitalini hapo.
Watu 20 waliungua vibaya sehemu mbalimbali za miili na mmoja kufariki dunia papo hapo baada ya kulipukiwa na petroli wakati kundi la vijana walipokuwa wakijaribu kupora mafuta kwenye lori hilo lilopinduka eneo la Mbagala Rangi tatu jijini Dar es Salaam Jumatatu wiki hii usiku.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >