Habari Kali
Loading...

Meya wa Tabora afikishwa kwenye Baraza la maadili kwa kosa la kudanganya, kujilimbikizia mali na ubadhirifu

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
MEYA wa Manispaa ya Tabora, Gulamhussein Remtullah, amefikishwa mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kwa tuhuma mbili, ikiwemo ya kutojaza fomu za uhakiki wa mali za viongozi wa umma.
Remtullah anadaiwa alipotakiwa kujaza fomu hiyo, alijaza kwa kudanganya kuwa anamiliki mali ambazo hata hivyo hakuwa nazo, tuhuma nyingine inayomkabili Remtullah ni matumizi mabaya ya fedha za mji huo na kujilimbikizia mali.

Gulamhussein Remtullah

Akitoa ushahidi mbele ya mwenyekiti wa Baraza hilo, Jaji mstaafu Hamis Msumbi, shahidi wa kwanza kutoka Halmashauri ya mji wa Tabora ambaye ni Ofisa Maadili, Gerald Mwautebele alisema meya huyo amekuwa akitumia fedha za mji huo vibaya.
Shahidi huyo alisema Remtullah amekuwa akijilimbikizia mali yeye na familia yake huku akimiliki mali nyingi, ikiwemo magari na mashamba.
Alisema hata Remtullah alipoandikiwa barua ya kufika katika ofisi ya maadili kwa ajili ya kuhojiwa juu ya tuhuma hizo hakuweza kutokeza kwa wakati.
“Tulimwandikia barua ya kumuita ili ahojiwe lakini hakuweza kufika na alikuja baada ya ule muda tuliopanga kupita,” alisema shahidi huyo.
Hata hivyo, Jaji Msumi aliahirisha shauri hilo hadi kikao kingine huku akimtaka mlalamikiwa ambaye ni Remtullah kuorodhesha mashahidi wake.
Katika shauri hilo tayari upande wa walalamikaji shahidi mmoja ameshatoa ushahidi wake na wengine kutakiwa kutakiwa kutoa ushahidi wao katika kikao kingine.
Baada ya shauri hilo kuahirishwa Remtullah akiwa nje ya ukumbi alisema, uwepo wa baraza hilo una umuhimu mkubwa kwani unawakumbusha viongozi kufanya kazi kwa bidii na kwa uadilifu.
“Hii sheria ya kujaza fomu za uhakiki wa mali za viongozi wa umma ni nzuri kwa sababu inasaidia kuwatambua viongozi ambao si waadilifu, lakini pia ni vizuri kukawa na semina elekezi ya jinsi ya kujaza fomu hizi,” alisema Remtullah.
Chanzo: Habarileo

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top