Habari Kali
Loading...

NAOMBA UIPOST HII KWA AJILI YA KINADADA WENZANGU....KAMA WEWE MDADA INAKUHUSU! SOMA HAPA

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >

Mwaka jana mwezi wa tisa nikiwa na rafiki zangu mara baada ya kumaliza mitihani tuliamua kwenda kujirusha.

Tulikubaliana twende tukakae pahali patulivu tukiwa sisi kama sisi yaaani mimi, evelyne, Trice na shakira.

Baada ya kufika bar mwenzetu Trice akadai rafiki yake wa kiume angependa kuja pale, tukabishana sana kuwa mbona huu ulikuwa mtoko wa sie peke yetu? Lakini baadae tukaamua tumkubalie amwite tuu hasa ukizingatia ni shemeji yetu.

Dakika chache baadae akaja shem akiwa na jamaa zake watatu na kufanya kuwa idadi ya mabinti wanne na vijana wanne wa kiume. Haiukuninigia akilini lakini nikajua kama kuna kitu nafichwa vile.

Baada ya utambulisho tuluendelea kufurahi na mazungumzo yakiendelea.Pamoja na mazungumzo bia ziliendelea kushuka mezani ingawa mimi nilikuwa nikinywa kinywaji aina ya Bavaria hata kama walinisakama nijaribu pombe kidogo.

Walizidi kunishawishi na baadae nikanyanyuka kwenda maliwatoni nilipo rudi nikaendelea kunywa bavaria yangu ingawa nikawa nahisi kama inakuwa tofauti na kichwa chazidi kuwa kizito.

Badae nikamuuliza Trice kuhusu hali ile akaniambia labda kwa kuwa nimekunywa nyingi ila akanishawishi ninywe bia moja itatulia lakini mpaka muda huo unafika nilishaanza kuona maluweluwe so ikawa vigumu kukataa.

Baada ya saa moja baadae hali yangu ikawa imebadilika nikawa sijiwezi, kitu cha mwisho nilicho kukumbuka nikuwa tuliondoka kwenda kutafuta chakula.

Asubuhi nilihamaki kujikuta naamka nikiwa katika mazingira ya kutatanisha na maanisha katika sehemu nisiyoifahamu, nikiwa katika hali hiyo mara akatokea James niliyetambulishwa jana na Trice kuwa ni kaka yake.

Katika kipindi hicho nikawa nahisi maumivu sehemu zangu za siri kama nimeingiliwa vile. Na wakati huo James akawa nae kama anaona aibu vile.

Niliamka na kuondoka haraka kurudi hostel na kumkuta Evelyne ingawa nae alionekana kuchoka.

Nikakaa nikiwaza kwa muda mrefu nikiumia sana juu ya lile tukio na baadae nikaamua kumshirikisha rafiki yangu mmoja akaniambia kuwa Trice amekua na tabia ya kuwaunganishia watu wanaume na kuwa yawezekana waliniwekea madawa.

Niliumia sana na baada kuona hali yangu.yazidi kuwa ya kinyonge mwezi wa kumi na mbili nikaenda kupima katika hospitali ya taifa ya Muhimbili ambako baada ya vipimo daktari aliniambia ya kuwa nina mimba ya miezi mitatu na nimeathirika na ugonjwa wa ukimwi.

Ni zaidi ya mwezi sasa nimekuwa nikiwaza nijiue ama nitoe mimba bila kujua la kufanya.

Rafiki kama umeguswa na hili naomba ushauri wako maana naona kama kila kitu kimekuwa jehanamu kwangu.

Asante kwa uelewa wenu

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top