Habari Kali
Loading...

ROSE NDAUKA ANASWA AKIHAHA PENZI LA T.I

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
MAHABAT! Katika hali ya kushangaza, staa wa sinema za Kibongo, Rose Ndauka alinaswa akihaha kumtia kwenye himaya ya penzi lake Rapa kutoka Marekani, Clifford Joseph Harris ‘T.I’.
Rapa kutoka Marekani, Clifford Joseph Harris ‘T.I’.
Tukio hilo lililofuatiliwa hatua kwa hatua na mwanahabari wetu lilitokea usiku wa kuamkia Jumamosi iliyopita katika Viwanja vya Leaders Club wakati Mmarekani huyo alipokuwa akitumbuiza kwenye Tamasha la Serengeti Fiesta 2014.
Awali, Rose ambaye aliongozana na Mtangazaji wa Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’, mwigizaji Jacqueline Pentezel ‘Jack wa Chuz’ na mumewe, Gardner Dibibi, alisikika akiwaambia wenzake hao kuwa piga ua ataondoka na msanii huyo anayetamba na wimbo wa No Mediocre.
“Kama hamuamini mtaona, kifupi T.I ni shemeji yenu na hilo nitawaonyesha hapahapa pindi nitakapokaa naye,” alisikika Rose.
Kutokana na kuwalazimisha kwa muda mrefu wenzake hao wakubali wakiwa viwanjani hapo, ilifika wakati kila mmoja alikubaliana na hoja yake na kumuita ‘bebi’ wa T.I.
“Haya bwana, shem (T.I) anapanda saa ngapi?,” alisikika Gardner.
Staa wa sinema za Kibongo, Rose Ndauka.
Kama hiyo haitoshi, kuna wakati, Rose ambaye alionekana kama ulabu upo mahali pake, alitoweka katika kundi la wenzake kwa takriban dakika 20 akidai anakwenda nyuma ya jukwaa kumfuata T.I.
Hata hivyo baada ya muda alirejea na kudai imeshindikana kumuona kwa muda huo lakini atajitahidi hadi shoo itakapokwisha, atakuwa ameshakaa naye na kuzungumza naye kwa kirefu.
“Sijamuona ila hamna shida, nitamuona tu kabla shoo haijaisha,” alisikika Rose ambaye juzikati alimwagana na aliyekuwa mchumba’ke wa muda mrefu, Malick Bandawe.
Hadi mwanahabari wetu anaondoka viwanjani hapo, mrembo huyo mwenye mvuto wa aina yake hakuwa amefanikiwa kumtia mikononi rapa huyo.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top