Wakazi wa Ilula Mkoani Iringa wamegoma kupokea maiti ya mama aliyeuwawa wakati wa mapambano yalioyotokea juzi mkoani Iringa kati yao na polisi kwa masharti mawili:
Mosi: Wananchi 18 Waliokamatwa na jeshi la polisi baada ya vurugu hizo waachiwe mara moja bila masharti yoyote.
Pili: Polisi walio sababisha mauaji hayo wakamatwe na kufikishwa mbele ya sheria .
Katika tukio hilo, wananchi wa Ilula walimtuhumu polisi kumuua mwanamke kwa kosa la kuuza pombe muda wa kazi na hivyo kupanda ghadhabu na kuvamia kituo cha polisi ambako walichoma magari matano madogo na basi moja na baadaye kwenda kufunga Barabara ya Dar es Salaam- Mbeya kwa muda wa saa tano hadi Jeshi la Polisi lilipoongeza askari wake kutuliza ghasia hizo
Katika tukio hilo, wananchi wa Ilula walimtuhumu polisi kumuua mwanamke kwa kosa la kuuza pombe muda wa kazi na hivyo kupanda ghadhabu na kuvamia kituo cha polisi ambako walichoma magari matano madogo na basi moja na baadaye kwenda kufunga Barabara ya Dar es Salaam- Mbeya kwa muda wa saa tano hadi Jeshi la Polisi lilipoongeza askari wake kutuliza ghasia hizo
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >