LICHA ya Serikali, jamii na jumuiya ya kimataifa kukemea ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), bado kuna wanaoendelea kung’ang’ania mila potofu za kuamini kwamba bila ya ushirikina unaohusishwa na matumizi ya viungo vya albino, hawawezi kufanikiwa kimaisha, iwe katika kisiasa au kibiashara.
Hayo
yanathibitishwa na kuendelea kuripotiwa kwa matukio ya ukatili dhidi ya
albino, ambapo usiku wa kuamkia jana, watu wasiojulikana walimshambulia
na kumkata kiganja mtoto mwenye umri wa miaka sita, Baraka Cosmas na
kisha kutokomea nacho kusikojulikana.
Tukio
hilo lililotokea katika kijiji cha Kipeta Bonde la Ziwa Rukwa wilayani
Sumbawanga, ambako mtoto huyo anaishi na wazazi wake, Cosmas Yoram (32)
na Prisca Shaaban.
Tukio hilo limethibitishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa , Jacob Mwaruanda.
Alisema
tukio hilo ni la saa 8 usiku wa kuamkia Jumapili wakati mtoto huyo
akiwa amelala na mama yake. Baba wa mtoto huyo hakuwepo wakati huo.
Akielezea
zaidi, Kamanda Mwaruanda alisema usiku huo kikundi cha watu
wasiojulikana walivamia nyumba alimolala Baraka na mama yake mzazi,
Prisca wakiwa na silaha za jadi, ikiwemo mapanga na fimbo na kuanza
kumshambulia kwa kumcharaza viboko Prisca baada ya kukataa kuwapatia
mtoto huyo, mwenye ulemavu wa ngozi.
“Baada
ya kuingia ndani ya nyumba hiyo walimwamuru mama mzazi wa mtoto Baraka
kuwakabidhi mtoto huyo, lakini alikaidi ndipo walipoanza kumshambulia
kwa kumpiga kwa fimbo sehemu mbalimbali za mwili wake na kumjeruhi
vibaya …
“Waliingia ndani baada ya kuvunja mlango wa nyumba hiyo, ndipo katika patashika hiyo wavamizi hao walimkata mtoto Baraka kiganja cha mkono wake wa kulia na kuondoka nacho kusikojuliakana,” alibainisha.
“Waliingia ndani baada ya kuvunja mlango wa nyumba hiyo, ndipo katika patashika hiyo wavamizi hao walimkata mtoto Baraka kiganja cha mkono wake wa kulia na kuondoka nacho kusikojuliakana,” alibainisha.
Aliongeza
kuwa wakati hayo yakitokea, baba mzazi wa mtoto huyo inadaiwa alikuwa
amelala katika nyumba ya mkewe mdogo kijijini humo.
Kwa
mujibu wa Mwaruanda, mtoto huyo amelazwa katika katika Kituo cha Afya
cha Kamsamba wilayani Momba mkoani Mbeya kwa matibabu akiwa pamoja na
mama yake mzazi.
“Watu
watatu ambao majina yao yamehifadhiwa, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi
mkoani hapa kwa mahojiano na uchunguzi zaidi kuhusu tukio hilo
unaendelea ili kuwasaka wahusika na kiungo hicho cha kiganja cha mkono
wa mtoto Baraka,” alisisitiza Kamanda.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >