Akizungumza na mtandao huu juzi,Shamsa alisema, kinachoendelea kwa sasa kwenye mitandao ya kijamii ni Promosheni kwa ajili ya ujio wa filamu hiyo waliyoshirikiana,iliyopangwa kutoka mwanzoni mwa mwezi Mei mwaka huu.
"Hatuna uhusiano wa namna hiyo zaidi ya uhusiano wa kikazi, kwani tumeshirikiana kuandaa filamu yetu itakayofahamika kwa jina la Manyaunyau na tupo katika hatua za mwisho kabisa na mashabiki wakiiona ndo wataamini nini kilikuwa kinaendelea kati yetu," alisema.
Alisema jina la filamu hiyo limetolewa na Nay mwenyewe kutokana na aina ya filamu yenyewe ambayo inalenga familia 7 zinazoishi katika mvurugano,zikiwa kwenye maisha ya hali ya kati.
Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >


