Habari Kali
Loading...

SHAMSA AFUNGUKA UKWELI JUU YA PICHA YAKE NA NAY WAKILANA DENDA!

Mbinu Za Kumfikisha Kileleni Mwanamke Mwenye Makalio Makubwa Kwa Haraka, Bonyeza Hapa chini== >
Msanii  wa  Filamu  Nchini, Mwanadada  Shamsa Ford  amekana  kuwa  na  uhusiano  wa  kimapenzi  na  mwana  hip hop,Elibarik  Emamanuel 'Nay wa Mitego'  na  kuweka  wazi  kuwa  wako  mbioni  kuachia  filamu  yao  mpya  ya  Manyaunyau.

Akizungumza  na  mtandao  huu  juzi,Shamsa  alisema, kinachoendelea  kwa  sasa  kwenye  mitandao  ya  kijamii  ni  Promosheni  kwa  ajili  ya  ujio  wa  filamu  hiyo  waliyoshirikiana,iliyopangwa  kutoka  mwanzoni  mwa  mwezi Mei mwaka  huu.

"Hatuna  uhusiano  wa  namna  hiyo  zaidi  ya  uhusiano  wa  kikazi, kwani  tumeshirikiana  kuandaa  filamu  yetu  itakayofahamika  kwa  jina  la  Manyaunyau  na  tupo  katika  hatua  za  mwisho  kabisa  na  mashabiki  wakiiona  ndo  wataamini  nini  kilikuwa  kinaendelea  kati  yetu," alisema.


Alisema  jina  la  filamu  hiyo  limetolewa  na  Nay  mwenyewe  kutokana  na  aina  ya  filamu  yenyewe  ambayo  inalenga  familia 7 zinazoishi  katika  mvurugano,zikiwa  kwenye  maisha  ya  hali  ya  kati.

Hizi ndio sehemu 12 zinazompa Raha mwanamke wakati wa Tendo, Bonyeza Hapa chini== >


Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out:
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA VIDEO CHAFU YA AGNESS MASOGANGE== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright ZEE LA UDAKU | Designed By Code Nirvana
Back To Top